We mzee sasa

We mzee sasa

Boarding school tulipanga foleni kwa pasi hii J'mosi na J2, ukiona wanakuzingua sana unakunja skirt unaweka marinda vizuri unalalia chini ya godoro, asubuhi kama inatoka kwa dry cleaner.
Andika uzuri kuwa tulikuwa tunaweka mchagoni tumetoka mbali jamani.
 
na
na ukumbuke wakati huo watu wanaanza shule wakiwa na miaka 10

..kurudia madarasa kama kawaida ..majina kubadilisha.. ujamaa tuliutumia to EXTENT.. leo mnafanya issue kwa chekecheas.!! ...
 
Hapa jf ukileta mjadala wa kuku wataachana na kuku wataanza kujadili twiga, huyu kaleta mjadala wa staili ya unyoshaji shati wameachana na shati wamehamia kwenye pasi
Sasa unyooshaji huo bila pasi unawezekana vipi? Ukizungumzia mayai lazima na kuku ahusike.
 
Yeah, ila nimeona baadhi ma washkaji wanaweka kwenye majeans yao yanayochuja
Wow.. ila huu mtindo umekufa baada ya kuja haya mashati meupe sana wenyewe (tomato)
 
Watoto wa siku hizi wajuaji sana kuna kitoto hapo juu kanaasema natafuta kiki nikishapata hiyo kiki nalipwa sh ngapi? 1976 namaliza STD 7 KARUMO PRIMARY SCHOOL MWANZA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom