Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 4,175
- 12,984
Nakwambia ukijijua we ni kilaza tafuta watu wenye akili,tafuta watu wenye maarifa wakuzunguke wawe washauri wako
itakuwa faida kwako.
Kama we ndio boss wao hata wakiku-outshine usijali maana Wana faida kwako and you are still the boss.
Shida ni pale unavyojijua we ni kilaza halafu unachagua vilaza wenzio ili tu wasije kukuoutshine na kukuzidi hapa ama pale sababu we ndio boss,wale wenye akili unawatupia kule..unajivua nguo!
Ukikwama unaenda kuomba solution Kwa jopo lako la vilaza na wao wakijua wenyewe hawajui,ushauri wanaokupa unakuja kuufanyia kazi hadharani unatarajia Nini?
itakuwa faida kwako.
Kama we ndio boss wao hata wakiku-outshine usijali maana Wana faida kwako and you are still the boss.
Shida ni pale unavyojijua we ni kilaza halafu unachagua vilaza wenzio ili tu wasije kukuoutshine na kukuzidi hapa ama pale sababu we ndio boss,wale wenye akili unawatupia kule..unajivua nguo!
Ukikwama unaenda kuomba solution Kwa jopo lako la vilaza na wao wakijua wenyewe hawajui,ushauri wanaokupa unakuja kuufanyia kazi hadharani unatarajia Nini?