kibumbu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,420
- 3,482
Wanaita "kuchovya"Yeah, ila nimeona baadhi ma washkaji wanaweka kwenye majeans yao yanayochuja
Wanaita "kuchovya"Yeah, ila nimeona baadhi ma washkaji wanaweka kwenye majeans yao yanayochuja
Ndoo yenye mvutoHapa jf ukileta mjadala wa kuku wataachana na kuku wataanza kujadili twiga, huyu kaleta mjadala wa staili ya unyoshaji shati wameachana na shati wamehamia kwenye pasi
Yeah, something like thatWanaita "kuchovya"
Basi mkuu naomba nisamehe yaishe[emoji119][emoji119]Watoto wa siku hizi wajuaji sana kuna kitoto hapo juu kanaasema natafuta kiki nikishapata hiyo kiki nalipwa sh ngapi? 1976 namaliza STD 7 KARUMO PRIMARY SCHOOL MWANZA
Alafu mkikutana humu, anakuita mkuu.....[emoji23] [emoji23]Khaaaaa ww ni babu sas shikamoo babu[emoji119] [emoji119] [emoji119]
Kumbe humu watu mnafahamiana eeehhh........[emoji87] [emoji87] [emoji87]Hana lolote anatafuta kiki tu..samahani lakini[emoji125] [emoji125]
Ukichukulia kila jambo too serious humu Jr......... Ipo siku utaumia aise.....Hapa jf ukileta mjadala wa kuku wataachana na kuku wataanza kujadili twiga, huyu kaleta mjadala wa staili ya unyoshaji shati wameachana na shati wamehamia kwenye pasi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hahahaaa malinda yametulia hayoo
[emoji23][emoji23][emoji23] hapana mkuu simfahamu kabisaKumbe humu watu mnafahamiana eeehhh........[emoji87] [emoji87] [emoji87]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Duh , kama shkamoo, hongera zako mkuuWatoto wa siku hizi wajuaji sana kuna kitoto hapo juu kanaasema natafuta kiki nikishapata hiyo kiki nalipwa sh ngapi? 1976 namaliza STD 7 KARUMO PRIMARY SCHOOL MWANZA
Wenzio ndo tunamaliza F. 4 hapo.Hebu ngoja kwanza 76 ndio umemaliza std 7? hmu ndani inabidi tuongee kwa heshma co kuropokaropoka tu kuna watu nyuma ya keyboard asee!
Bila shaka ulisoma soni seminaryBoys swala la pass halikutupa shida saana .labda siku tuna ugeni wa KO au MZD.
Zaidi ya kumi mtu akijikisikia anakwenda kujiandikisha huyo mwalimu mwenyewe anaogopa kumpiga mwanafunzi wakena
na ukumbuke wakati huo watu wanaanza shule wakiwa na miaka 10
Hii mpaka sasa ipo huko vijijiniKuna na za mikononi. Kwa ktumia![]()
Pasi ina kelele hii siyo mchezo...Kuna na za mikononi. Kwa ktumia![]()