Mzee wakubadili gia angani

Mzee wakubadili gia angani

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,817
Reaction score
4,450
Ni zamu ya mzee wa project za kisiasa
802642124_1670419004442880_9074552631537023468_n.jpg
🙂
 
Huyu mzee nilimujeshimu sana.

Mbona anajidhalilisha sana aiseeeee

Taratibu naanza kuelewa tuhuma zake za kuwa pandikizi
 
Huyu mzee nilimujeshimu sana.

Mbona anajidhalilisha sana aiseeeee

Taratibu naanza kuelewa tuhuma zake za kuwa pandikizi
Na nyinyi Muachage usenge misiba haina itikadi za kisiasa.
 
Sioni tatizo kwa yeye kwenda kumfariji. Siasa sio vita japo kuna watu wanaifanya vita kwa kufunga, kuteka na kuua wengine kisa tu hawana itikadi sawa na wao.
 
Huyu mzee nilimujeshimu sana.

Mbona anajidhalilisha sana aiseeeee

Taratibu naanza kuelewa tuhuma zake za kuwa pandikizi
Hujawahi kukaa jela alau usiku mmoja tu,, ongea utakavyo,,
 
Back
Top Bottom