We mdada, kwa taharifa yako tu.

We mdada, kwa taharifa yako tu.

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Kama wewe ujawai tumia bomba la maji kunawa huko la pressure namna ya picha hapo chini. Unakosa kujiburudisha. Kwa utafiti uliopo, wadada wengi maofisini kutwa wanaenda toilet kujipiga pressure kwenda mbele. Leo ndio wameniabarisha ukweli. Wanasema yaani, we acha tu.
uploadfromtaptalk1365497219976.jpg
 
mi ndio kiburudisho changu home kwa sasa mpaka nitakapo pata mr perfecto kama ana-exist...!:tape2:
 
Hii ya longi sana ,hata nyumbani after game inapooza mashine nakuifanya mnato hahahahaahahahaah for the second round

Then kitu inarudi new, kumbe tuko wengi. hahahaaaa
 
kumbe...mhm ndio maana hawa malaya siku hizi wanang'ang'ania twende guest za ukweli...siri imefichuka
 
Hahahaaa...mbona kama sikusomi vile mpendwa?? mie nilikuwa nashangaa hiyo tekiniki:tape2::tape2:

ukome kunifuata fuata ukome kabisaaaaaaa,ila bomba ya public inaweza kukusababishia ugonjwa maana wengine husukumizia huko hayo maji baridi ili yafike ndani zaidi
 
Duh hii thread imeniacha hoi,,,

Hivi zile nyumba za kupanga za sinza na kwingineko zina hizo kitu kweli,,, chezea kimara, ubungo etc maji yenyewe kutoka mwezi hadi mwezi...
 
sasa inabidi MNYIKA TUMCHAGUE TENA ,yeye ndie anapigania maji Darisalama
 
kwangu ngeni kabisa nilikuwa bado analojia mmmmh
 
Duh hii thread imeniacha hoi,,,

Hivi zile nyumba za kupanga za sinza na kwingineko zina hizo kitu kweli,,, chezea kimara, ubungo etc maji yenyewe kutoka mwezi hadi mwezi...

Hahaha ubunifu unahusika, tumia kopo la kuogea tu, just increase presha wakati unamimina maji kujiswafi
 
Back
Top Bottom