We humjui baba yangu

We humjui baba yangu

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
3,811
Reaction score
1,607
Mwalimu alimwuliza mwanafunzi kumjaribu uwezo wake wa hesabu.
Mwalimu: Ukiwa na shilingi 5,000 na ukawambia baba yako akupe shilingi 5,000, utakuwa na shilingi ngapi?
Mwanafunzi: Shilingi sifuri
Mwalimu: Hebu fikiri kidogo, una shs 5000, umwombe baba yako 5000, utakuwa na ngapi?
Mwanafunzi: Sitakuwa na shilingi hata moja.
Mwalimu: Kwa nini?
Mwanafunzi: Wewe humjui baba yangu.
 
hahahaa, inaonyesha baba hatoboki hata mia sembuse buku tano?
 
Mwalimu alimwuliza mwanafunzi kumjaribu uwezo wake wa hesabu.
Mwalimu: Ukiwa na shilingi 5,000 na ukawambia baba yako akupe shilingi 5,000, utakuwa na shilingi ngapi?
Mwanafunzi: Shilingi sifuri
Mwalimu: Hebu fikiri kidogo, una shs 5000, umwombe baba yako 5000, utakuwa na ngapi?
Mwanafunzi: Sitakuwa na shilingi hata moja.
Mwalimu: Kwa nini?
Mwanafunzi: Wewe humjui baba yangu.

hahahaha...watoto wa kipare bana!!!!
 
Back
Top Bottom