MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,607
Mwalimu alimwuliza mwanafunzi kumjaribu uwezo wake wa hesabu.
Mwalimu: Ukiwa na shilingi 5,000 na ukawambia baba yako akupe shilingi 5,000, utakuwa na shilingi ngapi?
Mwanafunzi: Shilingi sifuri
Mwalimu: Hebu fikiri kidogo, una shs 5000, umwombe baba yako 5000, utakuwa na ngapi?
Mwanafunzi: Sitakuwa na shilingi hata moja.
Mwalimu: Kwa nini?
Mwanafunzi: Wewe humjui baba yangu.
Mwalimu: Ukiwa na shilingi 5,000 na ukawambia baba yako akupe shilingi 5,000, utakuwa na shilingi ngapi?
Mwanafunzi: Shilingi sifuri
Mwalimu: Hebu fikiri kidogo, una shs 5000, umwombe baba yako 5000, utakuwa na ngapi?
Mwanafunzi: Sitakuwa na shilingi hata moja.
Mwalimu: Kwa nini?
Mwanafunzi: Wewe humjui baba yangu.