Hatari mno.It's another WCW (Women Crush Wednesday)
Tukiachana na chuki na matatizo ya wanawake katika jamii.. Mimi huwa na kuwa empathetic sana kwa hawa viumbe katika angle moja.
Hawa viumbe wako fragile sana, sijui huwa tuna battle nao kwa manufaa yapi sisi wanaume. Mwanamke kapewa jukumu gumu sana biologically nalo ni ku conceive na kuzaa.. Do you know how tough that is?
Hivi hebu wanaume tu jiulize how hard and terrible that situation is? Yaani hebu tu jiulize the uncertainty ambayo anakuwa nayo... Yaani anapelekewa moto, anashika ujauzito then abebe out of this world creature kikue ndani yake, do you know how challenging that is..?
View attachment 3648865
Na bado hapo hapo avumilie stress zako, akupikie, akubembeleze unapo kuwa na issue zako, a hakikishe mazingira ya home ni masafi?... Na ujauzito ukikaribia kutoka bado avumilie muksheri za mtoto aliyemo ndani kwa mateke? Hivi sis wanaume huwa tunawaonaje hawa viumbe? Na kuhakikishia wanyama wametuzidi... Sijawahi kuona jike linapigana na dume... Labda kama kadume ni kadogo hapo lazima kafukuzwe.
Ila honestly turudi kwenye mada... Wanaume hawa viumbe sawa huwa wanaweza kuwa toxic sana, ila they're so weak, soo fragile.. Tukianza kuwaona katika hiyo angle labda tutaacha kukwaruzana nao, and you know what happens? Mmoja akiacha kujibu mwingine ugomvi huisha automatically..
Dunia ya leo ime mdemonize mwanamke na yeye kakubali kwa maana kuna competition.. Ila ubaya Wanaoumia ni wao wanawake.. They lose their feminine qualities, wanakosa huduma kimaisha na kihisia.
View attachment 3648866
These people need to be reminded they matter, wanawake wasio na ego huenjoy sana maisha kwa sababu they become submissive kwa wenza wao... Na hapo ndo hupewa Matunzo kwao na kizazi waletacho duniani..
Imagine for a second, ingekuaje leo kama kizazi kilicho tuluea wangekua egocentric na wa binafsi kama cha leo?
Jamani, wanaume let's stop fighting with women, it's detrimental not just to them, but kizazi wakiletacho duniani. Wao ndo wana autonomy kubwa sana maana ile bond ya mama kwa mtoto ni kubwa zaidi.
Kwa wengine it's taken a loss tujue how important these people are.. If your mom is still available haijalishi ni mtu wa aina gani, the fact that she raised you. Kamfanye ajue how important she is.
View attachment 3648868
Men are what their mothers made them to be ~ Ralph Waldo Emerson
In peace and light
De Gunner.
Kiumbe kinachotumia hisia mara nyingi zaidi ya logic, Sijaandika kwa nia mbaya , I a ni kuusema ukweli iliyothibitika na kuthibitika kila siku ugomvi huanza pale ambapo Tunataka kila kitu kiwe logic kwao
Ndo maana wa shauri hasa wa kisaikolojia hupenda kutuasa kuwe na emotional intelligence above all else.Kiumbe kinachotumia hisia mara nyingi zaidi ya logic, Sijaandika kwa nia mbaya , I a ni kuusema ukweli iliyothibitika na kuthibitika kila siku ugomvi huanza pale ambapo Tunataka kila kitu kiwe logic kwao
Yaani umegusa penyewe. Nyumbani kukiwa na mwanaume ambaye ni mwanaume kweli, ni raha saana jamani kwa sisi wanawake.Sure thing, it is that masculine energy ya kumfanya a feel safe let alone kuprovide.. Ikikosekana pia huleta mpasuko
Sisi wanawake tumeumbwa kuwa walezi wa familia,hisia zinatusaidia kutimiza majukumu yetu vyema. Ukiwa na mtoto mdogo ambaye hawezi kuongea, hisia ndo zinakuongoza kujua mwanangu sasahivi ana shida fulani ili utoe msaada. Bila hizo hisia kutuongoza ,tusingeweza kuwa wamama. Hata uwezo wetu wa kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja ni hisia zinatuongoza, unakuwa unafanya kazi fulani baadae hisia zinakwambia kule jikoni yale maji uliyobandika yatakuwa yamechemka na ukienda kweli unakuta yamechemka.Kiumbe kinachotumia hisia mara nyingi zaidi ya logic, Sijaandika kwa nia mbaya , I a ni kuusema ukweli iliyothibitika na kuthibitika kila siku ugomvi huanza pale ambapo Tunataka kila kitu kiwe logic kwao
Umeongea vizuri sana mkuuAsante kwa andiko hili mkuu, huwa nina furaha sana kuona mwanaume ana appreciate kazi ngumu inayofanywa na mwanamke ya kumleta kiumbe mwingine duniani, hakuna kazi inayoweza kufananishwa na hiyo, haipo.
Kuhusu submission, endapo mwanamke akiwa na mwanaume anaempenda na anaesimama kwenye uanaume wake, submission inakuja automatically na inakuja na feeling fulani ya kuenjoy sanaaa tena sanaa. Vile vile kama kwenye jamii ,wanaume wangejua kwamba wao ni protectors wa wanawake na si watumie nguvu zao kuwaumiza, ingekuwa ni raha sana na hizi mada sijui za wanawake hivi au wanawake vile, zingepungua.Tatizo linakuja kwenye jamii yetu wanaume wanatumia nguvu zao kumuumiza mwanamke na si kuwasaidia.
Nitakupa mfano, mimi nimekua kwenye jamii ambayo mwanaume kumpiga mke wake mjamzito hadi mimba inaharibika ilikuwa ni kawaida, hayo nimeshuhudia sijasimuliwa. Kesho mtu aje anambie " nyenyekea mwanaume" mimi nitamjibuje ilihali nimekua nikiona wanaume wanaua watoto wao ambao hawajazaliwa kwa kuwapiga wake zao wajawazito?. Huko makazini ndo usiseme yaani kuna mabosi wanaume ambao wanaona wafanyakazi wanawake kama machangundoa, wanahisi kama wanaweza kukutongoza na haupaswi kukataa. Mimi niliwahi kugombana na mkuu wangu wa idara enzi hizo kwa sababu alitumia lugha ambayo kwangu nilitafsiri kama udhalilishaji, na nilibishan nae hadi mwisho akasema nina dharau na sikujali. Kwanini nimuheshimu mtu ambaye yeye utu wangu hauthamini? yaani niwe mnyenyekevu ilihali naona utu wangu hauthaminiwi?. NEVER EVER.
Notes taken.. 📝Sisi wanawake tumeumbwa kuwa walezi wa familia,hisia zinatusaidia kutimiza majukumu yetu vyema. Ukiwa na mtoto mdogo ambaye hawezi kuongea, hisia ndo zinakuongoza kujua mwanangu sasahivi ana shida fulani ili utoe msaada. Bila hizo hisia kutuongoza ,tusingeweza kuwa wamama. Hata uwezo wetu wa kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja ni hisia zinatuongoza, unakuwa unafanya kazi fulani baadae hisia zinakwambia kule jikoni yale maji uliyobandika yatakuwa yamechemka na ukienda kweli unakuta yamechemka.
Pia usisahau sisi mkuu tuna hormones nyingi za mfumo wa uzazi ambazo kiwango chake kinabadilika kila siku. Siku estrogen ikiwa juu, unakuwa na furaha,siku progesterone ikiwa juu, unakuwa na huzuni na hasira . Hizo hormones kuwa hivyo ndio sababu kwanini mimi na wewe tumezaliwa, ingawa ndio sababu pia kwanini tunakuwa hatueleweki mara tumenuna mara tumefurahi, lakini mwisho wa siku hiyo ndo maana ya kuwa mwanamke.
Kuna nini mtaa huu😆
Mwanaume hawezi kukaaa na mwanamke mkorofi.Absent fathers ndio wanaoharibu hiki kizazi, mwanaume asipokuwepo kutoa muongozo, mama pekee hawezi kuziba hilo pengo kwa asilimia mia moja.
Wewe!Kwa hiyo nije PM? Naona unazidi kunivuta kimtindo mkuu.
Narud subiri kijana mdogoUnajua nikikuita si vitu vibaya bali vya kujenga taifa hasa hasa
Tiririka madini mtoto
iumbe wanakula raha sana kwenye haya maishaDo you know how tough that is?
Tatizo la binadamu kupingana na NATURE ndiyo shida inapotokea.Ndio ila sio sasa na mwanamke naye ale kwa jasho na masimango.
Tuwape protection na kuwapenda