Light Saber Imetosha Sasa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 5,088
- 9,336
This needs restructuring, Na debate na kufikia muafaka , kama tunavyodai katiba mpya, Taasisi ya familia /ndoa inahitaji restructuringHawa v
iumbe wanakula raha sana kwenye haya maisha
Wepesi na ugumu wa maisha wanachagua mwenza, mapato na mali zote wao ndio warithi wasiotengeneza hizo mali, kila anachopata baba kinaenda kwa mwanamke, yeye hutumia kujilemba, kujivalisha, kunenepa na bado hana sympathy kwa maumivu y mume. Ni mchoyo wa mali zake.
Men have the sacrificial role and toughest life lisilo na faida kwake baali kwa mke na watoto.