WCW: Thamani na Nguvu ya Mwanamke

WCW: Thamani na Nguvu ya Mwanamke

Hawa v

iumbe wanakula raha sana kwenye haya maisha

Wepesi na ugumu wa maisha wanachagua mwenza, mapato na mali zote wao ndio warithi wasiotengeneza hizo mali, kila anachopata baba kinaenda kwa mwanamke, yeye hutumia kujilemba, kujivalisha, kunenepa na bado hana sympathy kwa maumivu y mume. Ni mchoyo wa mali zake.

Men have the sacrificial role and toughest life lisilo na faida kwake baali kwa mke na watoto.
This needs restructuring, Na debate na kufikia muafaka , kama tunavyodai katiba mpya, Taasisi ya familia /ndoa inahitaji restructuring
 
This needs restructuring, Na debate na kufikia muafaka , kama tunavyodai katiba mpya, Taasisi ya familia /ndoa inahitaji restructuring
Kwanini Taasisi ya Familia Inahitaji Restructuring?
Mfumo wa sasa wa familia unaotumika mara nyingi umejengwa juu ya misingi ya zamani (agrarian/industrial era assumptions), wakati maisha ya leo yanaendeshwa na mfumo tofauti kabisa wa kijamii na kiuchumi:

Mabadiliko ya Majukumu ya Kiuchumi: Zamani mfumo ulikuwa unategemea mtafutaji mmoja (breadwinner) na msimamizi wa nyumba (homemaker). Leo, mwanamke na mwanaume wote wako kwenye soko la ajira/biashara. Hata hivyo, expectations za majukumu ya nyumbani na maamuzi bado zimebaki za karne iliyopita.
 
Hawa v

iumbe wanakula raha sana kwenye haya maisha

Wepesi na ugumu wa maisha wanachagua mwenza, mapato na mali zote wao ndio warithi wasiotengeneza hizo mali, kila anachopata baba kinaenda kwa mwanamke, yeye hutumia kujilemba, kujivalisha, kunenepa na bado hana sympathy kwa maumivu y mume. Ni mchoyo wa mali zake.

Men have the sacrificial role and toughest life lisilo na faida kwake baali kwa mke na watoto.
Hakika ndo misingi ya nature hiyoo

Ila swala selfish woman hilo lazima kama mwanaume usilifumbie macho lazima awe accountable kutoa kile anapaswa kuto hasa hasa kui nurture familia..

Ukiona ana kunynya hapo unapaswa uwe beast, usimdhuru maana we are more powerful hawa wako fragile, akidhurika sio physically bali ni emotional pia.. Na anaweza kisambaza hayo maumivu kwa wanao pia

Ni kuhold accountable tu
 
Unajua nini…. Mwanaume akikupenda wala sio mtu mbaya. Kinyume chake hapo… We have seen what they are capable of doing.

Bandiko zuri, i hate when people don’t acknowledge each other.

Kuna mjadala nilifuatilia mahali kuhusu wanawake na kuzaa, Wanaume “baadhi “ walikuwa wanacomment hivi… viumbe vyote vya kike vinazaa, what’s a big deal kuhusu mwanamke kuzaa? Uwiii niliogopaaa! 😔

Like kuzaa ni karibu na uumbaji, how can someone be-little this experience?
 
Unajua nini…. Mwanaume akikupenda wala sio mtu mbaya. Kinyume chake hapo… We have seen what they are capable of doing.

Bandiko zuri, i hate when people don’t acknowledge each other.

Kuna mjadala nilifuatilia mahali kuhusu wanawake na kuzaa, Wanaume “baadhi “ walikuwa wanacomment hivi… viumbe vyote vya kike vinazaa, what’s a big deal kuhusu mwanamke kuzaa? Uwiii niliogopaaa! 😔

Like kuzaa ni karibu na uumbaji, how can someone be-little this experience?
Hiyo ni programming

Lakini pia wanawake wanapenda kuona kisa wao wanazaa basi wanaume ni viumbe vilivyo pendelewa kumbe anakazi kubwa sana ya provision and protection

Hao wanaojibu hivyo mara nyingi huwa wako ego centered.

Binafsi huwa nikifikiria the whole process hata kama nilikuwa namchukia mwanamke kwa sababu ya tabia nitaiweka pembeni kwa muda
 
Hiyo ni programming

Lakini pia wanawake wanapenda kuona kisa wao wanazaa basi wanaume ni viumbe vilivyo pendelewa kumbe anakazibkubwa sana ya provision and protection

Hao wanaojibu hivyo mara nyingi huwa wako ego centered.

Binafsi huwa nikifikiria the whole process hata kama nilikuwa namchukia mwanamke kwa sababu ya tabia nitaiweka pembeni kwa muda
Empathetic traits ndani yako bado haijafa no matter what life throws at you.
 
Umeongea vizuri sana mkuu

Ila Kama ukisha jua ins and outs za hayo yotee. Unaweza kuwa na compassion kwao kujua where they're coming from... Also not being consumed by their negativity

Pole sana kwa kukulia katika hayo mazingira. Inatia uchungu sana..

Just forgive ukitambua it's mostly not them but societal and egoic conditions zinawasumbua
Yes mkuu.
 
Ukijiheshimu utaheshimiwa. Simple tuu.

Unapovuka mipaka dunia haitasita kukunyorosha na kukuweka kwenye laini au kukuangamiza
 
Back
Top Bottom