Oral mpaka week duu hyaHesabu gani mmetolewa wakubwa ngojeni oral after one week
vp mkubwa watu wenyewe wanakwambia pepa gumu ivyo mimi kama mtia tiki nakula vichwa tuOral mpaka week duu hya
nafasi gani mzeeHawakua fair at all nimeambulia la prime number tu
Nimejihisi kusononeka na kuumia nliposoma hizo sentensi mbili za mwisho. Naamini iko cku kiumbe kilichoko jangwani kitayafikia maji.Nilijua tu baada ya kuona long listing ya watu 3000 kasoro kutakuwa na kukomoana tu huko, ndo maana nikasave 100, 000 ambayo ningeitumia kama nauli na mengineyo, poleni sana, mie nishakuwa Senior Expert Job Seeker, najua dunia ya kuomba kazi ilivyo
Kiukweli ile aptitude ya wcf leo pale ifm haikuwa fair hata kidogo ,namna walivyopanga mambo kuhusu kuingia ndani ya paper utaratibu ulikuwa mbovu sana plus ngoma yenyewe ilikuwa haitembei
Dahhh!!!!Baada ya usaili nguo zote niliziona nzito aiseeee.
Compliance officernafasi gani mzee
Pole sana ila nimeunda Picha yako mabega yalivukushuka.