Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,985
- 2,770
Wakristo Wana Nyimbo tosha za Msiba. Hawahitaji Bongo Fleva Msibani.Leo jumatano ya tarehe 29 July 2020 watz tumemzika rais mstaafu wa awamu ya 3 Hayati BW Mkapa.
Lakini wanamuziki kutoka Label ya WCB hawajaonekana kokote, either Masaki kwenye makazi ya Marehemu DSM, uwanja wa taifa kwenye kuaga mwili au hata kwenye mazishi Lupaso Mtwara.
Je nini tatizo?