Ni sheria ya Bashite.Sheria gani hiyo inayosema ukitembea bila cheti cha chuo ni mzurulaji!?
Tena kariakoo, mtaa wa Congo itanoga zaidi!Hapa dawa Ni kutembea na jembe begani
Usiwe na wasiwasi, wanaweza kukamatwa na kupelekwa kila mmoja kwao.Mkiwakamata mtawapeleka wapi?
Huko vituoni si kutajaa na kutakuwa na msongamano
Naona sahv Hao wazurulaji muwapeleke mabibo hostel
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo dogo mwacheni tu maana uwezo wake wa kufikiri ndo uneishia hapo! Unatemea nini kutoka kwa mtu aliyefoji vyeti?Sasa hivi hata ukikamatwa tu hata kama hauna kosa utaambiwa mzururaji...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ulazima mkubwa wa kujifunza kutembea na kitambulisho, kitu ambacho ni kigumu kwa watanzaniaUtakuta wengine wanafunzi wako likizo, sio lazima awe jobless
Mjini jembe la nn,ukalie lami?Hapa dawa Ni kutembea na jembe begani
Kwa utamaduni wetu Kanda ya ziwa,kulima ndio kazi,,vitu vingine sijui udalali,kuuza kahawa,auditor,consultant sijui Ni uzembe tuMjini jembe la nn,ukalie lami?
Hahaha!wakikushika utabonga nao kilugha tu watakuelewaKwa utamaduni wetu Kanda ya ziwa,kulima ndio kazi,,vitu vingine sijui udalali,kuuza kahawa,auditor,consultant sijui Ni uzembe tu
Jifunze maneno yenye staha! ili upate kipato na maisha mazuri! wale ni watembezi watoa huduma! siyo kuzurula! unasikia? mzurulaji hana maelengo na safari zake! ukimuuliza ''unakwenda wapi ? ''hapo mbele kumuona Dura!''Maana hata kazi za machinga kwa maana halisi ni uzululaji unao leta kipato kwa mzululaji!