johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Kabla ya ujio wa Makonda kama Mkuu wa mkoa wa DSM Watu Wengi waliamini cheo cha Mkuu wa mkoa ni Mwanasiasa
Ila RC Makonda akaonyesha Nguvu kamili ya RC kikatiba ndipo Wakuu wa Mikoa na Wilaya kote Nchini wanaanza kumuiga huku wengine wakipitiliza na kuvaa sare za majeshi kabisa
Hata sasa Wengi wameanza kujua maana ya Itikadi ya Chama Cha Siasa kinapokuwa kimeunda Serikali
Mungu wa Mbinguni amlinde😀
Ila RC Makonda akaonyesha Nguvu kamili ya RC kikatiba ndipo Wakuu wa Mikoa na Wilaya kote Nchini wanaanza kumuiga huku wengine wakipitiliza na kuvaa sare za majeshi kabisa
Hata sasa Wengi wameanza kujua maana ya Itikadi ya Chama Cha Siasa kinapokuwa kimeunda Serikali
Mungu wa Mbinguni amlinde😀