Ni Mafuta ya kuzuia miale ya juaKama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............
Ni Mafuta ya kuzuia miale ya juaKama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............
sikirefu cha mzungu ni mzungukaji,sasa wataachaje kuzungukaWanashangaza wanapaka mafuta ya kujikinga na mionzi ya jua halafu ni hodari wa kukesha juani(unaweza mkuta mzungu anaota jua hadi la saa tano sita mchana)
nasikia mzungu hata akijamba harufu yake sio kali sijui nikweli ila aachie black sasa lazima ushike tumbo
Nzi wanapenda harufu mbaya.Nzi pia wanapenda harufu moja very amazing. Harufu hiyo inawavutia sana. Je mtu akitoa jibu hapa, unatalaumu kwamba watu wanachukia nzi kwa sababu wanapenda hiyo harufu?
mkuu fanya utafiti huo utaleta mrejeshi hapahahahahahahahahahahahaha........mkuu
naenda kwa trump for white jambaling researchmkuu fanya utafiti huo utaleta mrejeshi hapa
Mbaya kwako lakini wao ndio wanaipenda. Kama vile anaependa juisi na anayependa mataputapu wote wanaona wanatumia ile kitu moyo inapenda, kitu mzuri.Nzi wanapenda harufu mbaya.
Utakuwa unamimba wewenazani ni dawa ya mbu ya kupaka hata mimi iyo harufu huwa naipenda sana
Ni kweli kabisa hata mtanzania ukienda marekani au ulaya unakuw wa tofauti sana pia na wao wanashangaa harufu Zetu na si wazungu hata mchana mwarabu mhindi wote akiwa mgeni utasikia hatufu tofauti ila akishaa kaa sana na mwili wake ukazoea anakuwa wa kawaida ndio mana hatusikii sana warabu na wachina kwa sababu wengi tumeishi nao mda mrefu sanaMnaongozwa na mitazamo tu...nani kawaambia wao wanavutiwa na harufu zenu? ni rahisi ku notice kwa sababu ni harufu ngeni ila kila binaadamu ana harufu yake sema tu "lake mtu halimtapishi".
Nakumbuka nilipokuwa mdogo (miaka ya 1980 hivi) ilikuwa kama tunakataa kuoga basi Wazazi wanakuambia 'unataka kuwa kama mua....ha, wakimaanisha wenyeji wa pale/mkoa ule tulipohamia , ambapo walikuwa wanafika sana maeneo ya jirani na Nyumba tuliyokuwa tunaishi wakichunga Ng'ombe, Mbuzi na Kondoo zao...siku za mwanzo kuishi pale ile harufu mchanganyiko na mifugo ilikuwa inanifanya hata nashindwa kula chakula usiku.
Pia tukumbuke wengi wanatoka nchi zenye baridi hivyo hali ya joto lazima itasababisha miili yao ku react na ku produce aina fulani ya kemikali kama defence mechanisim.
Wanajikinga na mienzi hatarishi (U. V rays) na siyo kwamba hawaliitaji jua kabisaWanashangaza wanapaka mafuta ya kujikinga na mionzi ya jua halafu ni hodari wa kukesha juani(unaweza mkuta mzungu anaota jua hadi la saa tano sita mchana)
Nailed it, hii ya fabric softener ni for sureKama sio perfume huwa inakuwa sabuni za kufulia nguo na softener wanazotumia ku-rinse kwenye washing machine.
watasha nikikutana nao huwa siwahoji labda nikikutana nao nitawauliza next timewatasha wawapi jitu?