Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,730
Kama sio perfume huwa inakuwa sabuni za kufulia nguo na softener wanazotumia ku-rinse kwenye washing machine.
Jibu ni hili hapa.
Kama sio perfume huwa inakuwa sabuni za kufulia nguo na softener wanazotumia ku-rinse kwenye washing machine.
hahahahahaha hata huko upo aiseeee lol
Wanasemaga kila abiria achunge Chake sasa acha wale wakae kule Mimi nijiwekee ulinzi na kule kwao napita kama siwaonihahahahahaha hata huko upo aiseeee lol
ushuz wa mzungu auna tofaut na mwafrika...harufu inategemea umekula nini tofaut katI yetu na wao sisi hatujiachii mzungu ushuz ukija anaachia tu popote bila aibunasikia mzungu hata akijamba harufu yake sio kali sijui nikweli ila aachie black sasa lazima ushike tumbo
Wanasemaga kila abiria achunge Chake sasa acha wale wakae kule Mimi nijiwekee ulinzi na kule kwao napita kama siwaoni
Kama kidonda flani hivi, hata wenye ulemavu wa ngozi wanakuwa na hako kaharufu.Hii ni hata wadada wa kibongo wanaotumia mkorogo...wana harufu flani mbayaaa
Mmh mkuu hao wenye ulemavu sijui kwakweliiKama kidonda flani hivi, hata wenye ulemavu wa ngozi wanakuwa na hako kaharufu.
Chunguza. Ni ile kukosa pigment ya melanin kwenye ngozi zao nafkiri ndio sababu.Mmh mkuu hao wenye ulemavu sijui kwakwelii
Ahaa sawa mkuu! Ila nahisi hao case yao ni tofauti na watumiaji wa mkorogooChunguza. Ni ile kukosa pigment ya melanin kwenye ngozi zao nafkiri ndio sababu.
Kama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............
Nakuona,Wazungu nawasikiaga wote wana harufu fulani hivi mbayaaaa
Ama mafuta ambayo ni sunrays protector.Kama sio perfume huwa inakuwa sabuni za kufulia nguo na softener wanazotumia ku-rinse kwenye washing machine.
Na ndio maana wanakujaga wakati wa summerWanashangaza wanapaka mafuta ya kujikinga na mionzi ya jua halafu ni hodari wa kukesha juani(unaweza mkuta mzungu anaota jua hadi la saa tano sita mchana)
Nitakupa nimeshaishi nao sana.Assumption
Tukikuomba uthibitisho utatupa.
watasha wawapi jitu?Kama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............
wabongo tunapenda sana kuoga eeh! hata mara tano kwa sikuHapo kwenye kuoga sawa,nimeona kwa waarabu.ni wavivu sana kuoga.
Iko hivi.Sijawahi kua karibu na mzungu, harufu yao ikoje?