Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 10,500
- 17,554
Ni kweli! Lakini pia kuingilia mwanamke kinyume cha maumbile ni laana pia.Utofauti upo sana mwanaume kuingiliwa kinyume na maumbile ni kitu kikubwa na cha kupingwa vikali.
Ni kweli! Lakini pia kuingilia mwanamke kinyume cha maumbile ni laana pia.Utofauti upo sana mwanaume kuingiliwa kinyume na maumbile ni kitu kikubwa na cha kupingwa vikali.
Mkuu umeona mbali sana na ulichoandika ni kweli kabisa kama sensa inadai kuwa jinsia ke ni wengi kuliko me jumlisha aya majanga so ni rahisi kupredict kuwa zama zijazo wanaume watakuwa ni viumbe adimu.Hii ishu iko deep sana lakini kwa kifupi LGBT ni mpango wa kupunguza nguvu ya mwanaume duniani ikiwa na maana new world order itakapoanza kama 80% ya wanaume wanashiriki mapenzi ya jinsia moja then hakutakuwa na nguvu ya kupinga sababu ule uanaume ile nguvu na pride ya kuwa wa kiume haimo tena.
Ndio maana dildos na sexual dolls zinatengenezwa sana ili kuhakikisha yule mwanaume halisi anapotea na nguvu ya kupambana pia inapungua,hata kivita wanapunguza matumizi ya human power zaidi iende kwenye machine power sababu in near future mwanaume rijali atapotea na ndio maana sasa hivi mashoga wengi ni vijana wadogo wadogo na wakijiunga tu wanakuwa na pesa za kujikimu na kuendesha magari mjini inawafanya wengi wanakimbilia ila wengi wanapotea wapo waliopenda na wapo waliolazimishwa.
Hili suala limepewa nguvu kubwa mno,rainbow imetumika zama kwa zama lakini ukitaka kufahamika fanya tukio sasa hivi wanatumia straights kuitangaza kama ni bendera yao na sisi straight wenyewe bika kujua kama ni trap ndio tuko bize kushtuana usiitumie ile ni ya "gays" wao wamekaa pembeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa.BabaMorgan, Hahahaa.
Umenikumbusha mama mmoja Mmarekani.
Alikuwa analalamika.
Anasema yeye hapingi hao LGBT kufanya wanavyotaka, yuko radhi wafanye wanavyotaka kivyaovyao kwa uhuru wao.
Tatizo lake, wamelichukua neno "gay" na kulipa maana fulani tofauti.
Neno "gay" kiingereza maana yake halisi ni kuwa na furaha.
Siku hizi mtu akikuuliza "are you gay?" maana yake imekuwa tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
BabaMorgan, Hahahaa.
Umenikumbusha mama mmoja Mmarekani.
Alikuwa analalamika.
Anasema yeye hapingi hao LGBT kufanya wanavyotaka, yuko radhi wafanye wanavyotaka kivyaovyao kwa uhuru wao.
Tatizo lake, wamelichukua neno "gay" na kulipa maana fulani tofauti.
Neno "gay" kiingereza maana yake halisi ni kuwa na furaha.
Siku hizi mtu akikuuliza "are you gay?" maana yake imekuwa tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry mkuu. Zamani id yako ilikua inaitwaje..?Acha uongo mzee.
Wazungu wameshindwa kuwadhibiti hata watoto wao.
Sent using Jamii Forums mobile app