Wazungu wanatuharibia maana ya rangi zetu (Rainbow)

Wazungu wanatuharibia maana ya rangi zetu (Rainbow)

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
5,188
Reaction score
14,346
LGBT (LESBISIAN, GAY, BISEXUAL AND TRANSGENDER). Uamuzi wa kutumia Rainbow kama alama (symbol) ya kusupport LGBT society ni wa kupingwa vikali na wapenda nature wote. Kwa nini Rainbow na sio alama nyingine yoyote? Na je, Rainbow ilitokea kwa sababu ya mashoga tu na sio binadamu wote wa ulimwengu?

Mimi kijana wa Kitanzania nakiri wazi kutokubaliana na uamuzi wa kutumia rangi za Rainbow kama mojawapo ya alama ya kutambulisha na ku-support LGBT society kwa sababu zifuatazo:

1. Rainbow ni rangi sio vitendo

2. Rainbow ni kwa ajili ya wote, siYo kikundi fulani

3. Rainbow ni nature

Ukweli utabakia kuwa ukweli milele.
 
inasikitisha sana.Kwa makusudi kabisa hii kitu inaenea sana,ukiangalia timu zote za ulaya kitu hiki kinashabikiwa sana,hapa kwetu kuna baadhi ya dala dala tayari zina nembo hizi.Yaani ni hatari kubwa.
 
BabaMorgan, Hahahaa.

Umenikumbusha mama mmoja Mmarekani.

Alikuwa analalamika.

Anasema yeye hapingi hao LGBT kufanya wanavyotaka, yuko radhi wafanye wanavyotaka kivyaovyao kwa uhuru wao.

Tatizo lake, wamelichukua neno "gay" na kulipa maana fulani tofauti.

Neno "gay" kiingereza maana yake halisi ni kuwa na furaha.

Siku hizi mtu akikuuliza "are you gay?" maana yake imekuwa tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wachache,wenye matashi ya peke yao katika kuiendesha hii Dunia

Wanataka Ujinga,uwe ndio maisha ya kila mmoja,ili wapate kuitawala Dunia kama watakavyo wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Na watu hawa kwa bahati mbaya,au nzuri ni kuwa hufadhili haya mambo bila wenyewe na familia zao kuathirika.Watoto wao wamewatengeneza vizuri kiasi kwamba huwezi kusikia wanajiingiza kwenye ujinga huo.Sisi tunadhani ni mtindo wa maisha wa kistaraabu na maendeleo ya mwanadamu na hasa ukihalalishwa na wazungu, wengine ndio tunadhani ni maisha kwa sababu tu mzungu anaona ni halali.
 
Na watu hawa kwa bahati mbaya,au nzuri ni kuwa hufadhili haya mambo bila wenyewe na familia zao kuathirika.Watoto wao wamewatengeneza vizuri kiasi kwamba huwezi kusikia wanajiingiza kwenye ujinga huo.Sisi tunadhani ni mtindo wa maisha wa kistaraabu na maendeleo ya mwanadamu na hasa ukihalalishwa na wazungu, wengine ndio tunadhani ni maisha kwa sababu tu mzungu anaona ni halali.
Acha uongo mzee.
Wazungu wameshindwa kuwadhibiti hata watoto wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo mzee.
Wazungu wameshindwa kuwadhibiti hata watoto wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna uongo,ni kuwa hujanielewa tu.Mimi siongelei wazungu wote,naongelea wazungu wenye nguvu wanaoendesha na kufadhili hizo kampeni.Umewahi sikia mtoto wa Bill Gates kuwa ameathirika na dawa za kulevya au shoga?,hata wa Trump?.Panua uelewa wako soma zaidi mambo yanayoendelea duniani.
 
Back
Top Bottom