Wazungu wanatuharibia maana ya rangi zetu (Rainbow)

Wazungu wanatuharibia maana ya rangi zetu (Rainbow)

Ni kweli. Sioni tofauti kati ya kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile na ushoga!
Utofauti upo sana mwanaume kuingiliwa kinyume na maumbile ni kitu kikubwa na cha kupingwa vikali.
 
Utofauti upo sana mwanaume kuingiliwa kinyume na maumbile ni kitu kikubwa na cha kupingwa vikali.
Inasemekana wengi wanaoingilia wanawake kinamaumbile wana uwezekano mkubwa kuwa na traces za ushoga siku akikosa mwanamke ata tafuta mwanaume mwenzake so ni wote ni wale wale tu wafiraji hata kwenye vitabu vya dini imewapinga si wafiraji wa wanawake au wanaume
 
Mkuu hakuna mwenye patent right na rangi za Rainbow so haijaibwa ila ungesema. Rainbow ya LGBT au Pride Flag imekuwa maarufu kuliko Rainbow flags zingine.

South Africa walitumia rangi hizo pia kipindi wanafuta mambo ya apartheid lakini wao ilimaanisha together in diversity.

Kwahiyo hyo rangi maana yake licha ya utofauti wao ''kijinsia'' ila ni binadamu hivyo wote waheshimiwe.

NB: Sipo hapa kutetea ndoa za jinsia moja ila maana ya hyo bendera ndio hiyo na imetumika kwingi tu kumaanisha Unity in diversity yaani ushirikiano/Umoja licha ya tofauti zetu za rangi/Jinsia/Uchumi
Mkuu nimekuelewa ni kweli Rainbow ya LGBT imekuwa maarufu kiasi kwamba popote ninapoiona au napoana hata upinde wa mvua mawazo yangu moja kwa moja yanaenda kwenye LGBT na kwa hiyo power inayotumika imetufanya tuamini kuwa hiyo community Ina hatimiliki ya hiyo rangi na pengine hicho kinawapelekea wasiounga mkono hivyo vitendo kutokuwa comfortable kujihusisha na hizo rangi ndo maana nikawa nashauri kama kuna uwezekano wa kupata alama mbadala ingekuwa vizuri kuliko kutumia Rainbow
 
Wakuu mtaniradhi ila naona kama Tanzania tumejaa unafiki hivi. Ukiingia mitandaoni hata humu JF issue ya ushoga ikitajwa watu wanakuwa wakali sana same as wanawake wakiingiliwa kinyume na maumbile.

Sasa nachoshangaa Utafiti wa mewata ilikuwa 2013 ulionyesha kila wanawake 3 basi mmoja ameingiliwa kinyume maumbile. Na hiyo ni miaka 6 ilopita. Sasa nachojiuliza hao wanaowaingilia ndio hawa wanaotoka mapovu mitandaoni au wale huwa hawaingii online??
Mkuu umeongea point sana. Hao wote mashoga tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mtaniradhi ila naona kama Tanzania tumejaa unafiki hivi. Ukiingia mitandaoni hata humu JF issue ya ushoga ikitajwa watu wanakuwa wakali sana same as wanawake wakiingiliwa kinyume na maumbile.

Sasa nachoshangaa Utafiti wa mewata ilikuwa 2013 ulionyesha kila wanawake 3 basi mmoja ameingiliwa kinyume maumbile. Na hiyo ni miaka 6 ilopita. Sasa nachojiuliza hao wanaowaingilia ndio hawa wanaotoka mapovu mitandaoni au wale huwa hawaingii online??
Kuhusu unafiki ni kweli lakini kuhusu Rainbow sio sawa ingetosha tu kupata alama tofauti.
 
Kufanya dhambi sio ushetani (hakuna asiye na dhambi) ila ushetani ni kuwalazimisha watu wakubaliane na dhambi unayofanya na wao pia waifanye.
 
Hii dunia nafikiri zimebaki dakika chache tu
. Irudi ilikotoka
 
Mkuu hao wanaowaingilia wamawake kinyume na maumbile ni sisi wenyewe na ndio sisi haohao tunaopinga hivyo vitendo,ni suala tu La kulaani unachokifanya
Wakuu mtaniradhi ila naona kama Tanzania tumejaa unafiki hivi. Ukiingia mitandaoni hata humu JF issue ya ushoga ikitajwa watu wanakuwa wakali sana same as wanawake wakiingiliwa kinyume na maumbile.

Sasa nachoshangaa Utafiti wa mewata ilikuwa 2013 ulionyesha kila wanawake 3 basi mmoja ameingiliwa kinyume maumbile. Na hiyo ni miaka 6 ilopita. Sasa nachojiuliza hao wanaowaingilia ndio hawa wanaotoka mapovu mitandaoni au wale huwa hawaingii online??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ishu iko deep sana lakini kwa kifupi LGBT ni mpango wa kupunguza nguvu ya mwanaume duniani ikiwa na maana new world order itakapoanza kama 80% ya wanaume wanashiriki mapenzi ya jinsia moja then hakutakuwa na nguvu ya kupinga sababu ule uanaume ile nguvu na pride ya kuwa wa kiume haimo tena.

Ndio maana dildos na sexual dolls zinatengenezwa sana ili kuhakikisha yule mwanaume halisi anapotea na nguvu ya kupambana pia inapungua,hata kivita wanapunguza matumizi ya human power zaidi iende kwenye machine power sababu in near future mwanaume rijali atapotea na ndio maana sasa hivi mashoga wengi ni vijana wadogo wadogo na wakijiunga tu wanakuwa na pesa za kujikimu na kuendesha magari mjini inawafanya wengi wanakimbilia ila wengi wanapotea wapo waliopenda na wapo waliolazimishwa.

Hili suala limepewa nguvu kubwa mno,rainbow imetumika zama kwa zama lakini ukitaka kufahamika fanya tukio sasa hivi wanatumia straights kuitangaza kama ni bendera yao na sisi straight wenyewe bika kujua kama ni trap ndio tuko bize kushtuana usiitumie ile ni ya "gays" wao wamekaa pembeni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo9-10
13 Mimi nauweka upinde wangu (rainbow) winguni, nao utakuwa ni ishara ya agano kati yangu na nchi.14hata itakuwa nikitanda mawingu juu ya nchi, upinde utaonekana winguni,15 nami agano langu, lililopo kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai,..........

Waliopanga kutumia hizo rangi wanajua wanachopinga ila siku MUNGU uvumilivu ukimshinda ninaamina atalivunja hilo agano na ndipo halitabaki jiwe juu ya jiwe!
 
Back
Top Bottom