Wazungu waling'oa pua za sanamu za Misri ili kuficha ukweli kuwa chimbuko la ustaarabu duniani ni mtu mweusi.

Hapa ndipo ninapotoka kapa!! Eti mwafrika ana akili sana,halafu eti mwafrika kadanganywa na mzungu akaacha akili yake na kufata ya mzungu,hapo hapo mwafrika (mwenye akili mingi)karudi kwa mzungu asiye na akili kumuomba. Akili!! Iliwezekanaje? Acheni porojo nyie! Maendeleo yanaletwa na uwezo binafsi wa kuweza kutatua changamoto unazokabiliana nazo,uwezo wako wa kukabiliana na changamoto zinazokukabili ndiyo kipimo namba moja cha uwezo wa mtu kiakili,changamoto nyingi zaidi zinahitaji akili nyingi zaidi kuzitatua,zinahitaji rasilimali nyingi zaidi na nguvu nyingi zaidi! Mambo mengine ni law of nature na mengine ni man made,ndiyo maana wanyama wa nchi za baridi kali wanakuwa na manyoya mengi kuliko wale wa kwenye joto,hiyo ni nature,na changamoto nyingi walizokuwa nazo hao wenzetu wa magharibi ndizo zilizowasukuma kutafuta njia nyingine mbadala ili kukabiliana nazo,pamoja pia na kutafuta rasilimali (materials)ili kujikwamua,wakati huo waafrika walikuwa na changamoto chache tu za msingi,kwa sehemu nyingi ukitoa maeneo yenye jangwa vitu kama chakula,maji au hali yahewa havikuwa tatizo kubwa kulinganisha na wazungu wa amerika au Australia ambao kuzikabili changamoto zao haikuwa kitu cha hiyari bali cha Lazima,hapo ndipo dhana ya natural selection inapofanya kazi! Strugle for existence,survival for the fittest,kwa baadhi ya sehemu nature iliacha hata viumbe dhaifu(kiafya,kiakili nk) vikiendelea kustawi wakati sehemu nyingine vile dhaifu vilifyekelewa mbali! Ukweli mchungu ni kuwa sehemu nyingi za afrika ni heaven for the weak creatures,kutokana na mazingira kuwa rafiki sana! Hivyo natives hawakuhitaji kufikiri sana ili waishi,na kanuni ya ubongo ni Use it,or lose it! We lose it!!
mkuu ukitaka kujua thamani yako anza kwa kujihoji na kujiuliza kama hivi..
kama mwafrika fala kwanini mzungu anajitahidi kuficha historia yake?
kwanini mzungu anajiatahidi sana kumtekeza mtu mweusi kwa kila teknolojia?
kwanini mzungu anatufatilia mfumo wetu wa maisha? sana kila tunalofanya anataka ajue

inshort ni kwamba mzungu pamoja na kuchukua kingdom kwasasa lakini bado anatuogopa sana tu, ndio maana ataki kucheza mbali na sisi anatuchunga akijua fika akituachia tuishi maisha yetu basi ameisha
 
Kama ustaarabu ulianzia kwa mtu mweusi imakuaje sasa hivi mtu mweupe anakimbiza kwenye vumbuzi mbalimbali huku mtu mweusi akiishia kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe, ugomvi na madaraka, kuendekeza mitala, na uchawi (just to mention a few)
Mzungu technology ana toa kwa shetani ndie mshirika wake mkubwa
 
Ina ukweli hata ukifuatilia historia ya Cleopatra na ndugu zake
 
Kuna kitu kinaitwa rise na kingine kinaitwa fall.

Mfano mdogo tu ili uweze kuelewa nakupa mfano wa huu.
Miaka ya zamani sana kilwa ulikuwa ndo mji maarufu zaidi hapa tanzania na afrika, mashariki kwa ujumla. Then baadae ikaja bagamoyo hii unaambiwa ilikuwa "dasaramu" kwa wakati huo hata ikulu ya nchi ilijengwa huko kabla ya kuhamishwa na kujengwa hapo ilipo sasa baadae ukaja mji mwingine mzizima. Kwa mlolongo huo unaweza kuona japo hyo miji ilikuwa mikubwa na maarufu kuzidi "dasaramu" lkn sasa si chochote wala lolote bali dasaramu ndo kila kitu. Kilwa ilifikia hatua ys kuwa na pesa yake.

Nadhani kwa mfano huu mdogo utakuwa umetambua.
Pia refer ustaarabu(maendeleo, teknolojia, uchumi nk) wa miji kama athens, roma, nk hlf linganisha na hawa waliokuja nyuma kabisa.
Mkuu Fanya kifupisho,sema waarabu na waislamu ndo kitovu cha ustaarabu na elimu na teknologia na maendeleo,
Nadhani Roho yako itafurahi sawa ee
 
unatakiwa ujiulize kwanini walivunja pua. ukipata jibu hutakuja na swali lako la kizembe.
Walivunja halafu wakashindwa kuzibumba ziwe ndefu,
Masanamu yanafukuliwa yamevunjika yenyewe,unataka sema walivunja wakazificha halafu wakaja kuzivumbua tena,walishindwa nini kuzisambaza kabisa ama kuzisambaza vichwa,
Unawaza haraka haraka tena kwa kuruka ruka
 
Mkuu umenigusa sana bahati mbaya humu JF wengi siyo Great Thinker hawatakuelewa kabisa! Hawajui kuwa wazungu walipoiteka Misri miaka hiyo ya nyuma waliwachukua wataalam wote waliokuwa kwenye majengo ya watemi na kuwalazimisha kuwafundisha utaalamu wao wote then baadae wakawauwa hivyo utaalamu wa mweusi ukakatika hapo na ukahamia kwa wazungu na kuanzia hapo mambo ya kiafrika yakawa yanaitwa primitive na baadae utumwa ukaanza. Lakini bado waafrika ni wabunifu sana angali mambo tunayoyaita uchawi lakini yakifanywa na mzungu tunayaita ni technolojia ya waafika uchawi. Wazungu wanauchukua huo unaoitwa uchawi na kwenda kuubadilisha jina na kuwa technolojia angalia TV ukienda Sumbawanga unawekewa maji kwenye bakuli au sahani unamuona mtu aliyeko Dar badala ya kuudharau ubunifu huo tungekaa tunauboresha ungeleta manufaa! Lakini wazungu wamekuja na TV tunashangilia kama mazuzu na kuwazarau wanaotengeneza ubunifu wao na tunawazarau kumbe tungewaunga mkono labda wangeendelea na ubunifu zaidi. Waafrika tubadirike wapo waafrika wenzetu ni wabunifu sana kuliko hata hao wazungu
Yaaa kweli sisi waafrika wabunifu sana,km huu ubunifu mpya wa wasiojulikana ni vumbuzi Kali kabisa kuwahi tokea duniani,
 
Kama ustaarabu ulianzia kwa mtu mweusi imakuaje sasa hivi mtu mweupe anakimbiza kwenye vumbuzi mbalimbali huku mtu mweusi akiishia kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe, ugomvi na madaraka, kuendekeza mitala, na uchawi (just to mention a few)

tatizo ndugu zangu weusi ni mara chache sana kuukubali ukweli ambao umeongelewa na mweusi mwenzake mkuu nakupa mifano michache jaribu kuifikiri na kuifanyia kazi

maeneo yote yenye vita vya wenyewe kwa wenyewe hata kama ni afrika ama nje ya afrika jua kuna maslahi ya baadhi ya mataifa makubwa.

mitala ...nakuhakikishia kama ungezaliwa na ukakuta mzungu anaoa mitala kwako isingekua shida tena ungeshangilia na kuona ni fasheni..

uchawi... hili ni neno pana sana .hizi ni mila kama ambavyo waisraeli,na jamii zote zenye mashiko kuanzia kwa mababu wao zinafanyika sema tatizo umeshaaminishwa kuona uchawi wa mtu mweusi mmbaya basi umekremu kua ni hivyo

tusome tuelewe tusichukulie dunia kwa engo ya upande wako nawasilisha.
 
tatizo ndugu zangu weusi ni mara chache sana kuukubali ukweli ambao umeongelewa na mweusi mwenzake mkuu nakupa mifano michache jaribu kuifikiri na kuifanyia kazi

maeneo yote yenye vita vya wenyewe kwa wenyewe hata kama ni afrika ama nje ya afrika jua kuna maslahi ya baadhi ya mataifa makubwa.

mitala ...nakuhakikishia kama ungezaliwa na ukakuta mzungu anaoa mitala kwako isingekua shida tena ungeshangilia na kuona ni fasheni..

uchawi... hili ni neno pana sana .hizi ni mila kama ambavyo waisraeli,na jamii zote zenye mashiko kuanzia kwa mababu wao zinafanyika sema tatizo umeshaaminishwa kuona uchawi wa mtu mweusi mmbaya basi umekremu kua ni hivyo

tusome tuelewe tusichukulie dunia kwa engo ya upande wako nawasilisha.
UKo sawa kabisa mkuu
 
Kama ustaarabu ulianzia kwa mtu mweusi imakuaje sasa hivi mtu mweupe anakimbiza kwenye vumbuzi mbalimbali huku mtu mweusi akiishia kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe, ugomvi na madaraka, kuendekeza mitala, na uchawi (just to mention a few)
walitufanyia divide and rule wakabeba document zetu wakaneda kuzisoma ndo hzo zinawafanya wavumbue vitu sisi wakatuachia dini zao ndo hzo kila siku zinaleta shida
 
Kama ustaarabu ulianzia kwa mtu mweusi imakuaje sasa hivi mtu mweupe anakimbiza kwenye vumbuzi mbalimbali huku mtu mweusi akiishia kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe, ugomvi na madaraka, kuendekeza mitala, na uchawi (just to mention a few)
waafrica tunajipa moyo ujinga mtupu...
wazungu wali shock vitu mbali mbali pale egypt kuanzia tecnology ilotumika kujenga pryramid...so hii ndo inakuja kuwa moja ya facts za kuwepo kwa alliens miaka kenda ilopita...lakini mbongo zetu ma black hazina uwezo huo hata kidogo kwa miaka ile BC nadhani tulikuwa wanyama those dayz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ustaarabu ni kuvaa makubazi, barghashia,kanzu na ndizi mfukoni kwenda kuswali. Hayo mengine ni mbwembwe tu...

Wa masri wa kale waligundua Geometry au hesabu za maumbo. Algebra. waliendelea sana kwenye kilimo cha umwagiliaji. Waligundua hesabu za sehemu. walikuwa wameendelea kwenye utengenezaji wa meli. Waliendelea kwenye teknolojia za ujenzi kama unavyoona mapyramid, majengo na minara. walijenga. waliendelea kwenye metallurgy na utengenezaji wa urembo wa metali.

Walioweka mfumo wa siku 365, saa 24 kwa siku, siki 30 kwa mwezi ni wamisri wa kale. neno paper limetokana na vifaa vya kuandikia vya wamisri wa kale. Ustaarabu huu ukaingia Ugiriki na kusambaa ulaya yote na dunia.
ustaarabu ni neno pana mkuu, haumaanishi kubrashi viatu na kwenda kanisani jumapili tu.
 
Miafrima mijinga ndo imekalia kulalamika kila siku na pua zao kung'olewa.. nendeni kabandikeni nyingine. Jinga limekaa hapo kila linachotumia kimetengenezwa au asili yake ni hao hao weupe... Tengenezeni basi mengine wekeni pua za kibantu. Wenzenu wanahangaika kuvumbua nyie mnahangaika na yaliyopita huko...wakati wenzenu wanasonga mbele.sawa mapyramid yalijengwa na waafrika na pharaos ni waafrika. So what?
 
Hivi Athens au Roma ya sasa inafanana fanana na Kilwa au Bagamoyo ya sasa????kwa kweli kuna tatizo kubwa kwa Africa tukubali tukatae ila tatizo lipo na litaendelea kuwepo..Zaidi ya yote hyo miji mikubwa ya Kilwa na Bagamoyo usemayo ina historia mbaya ukigusa suala la ubinadamu.
Haki ya nani nhiii watu wengine wagumu sana, kuelewa mpaka utumie tinga tinga, au piga kichwa. Afirca super
 
Back
Top Bottom