kauga JR
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 3,503
- 2,077
Nyie ndio TRUMP anawaita shithole na nyie ndio wa husika wa kuu wa kutawaliwa tena, hebu amka kutoka usingizini.Mkuu Fanya Kazi achana na historia...kama baba yako alifanya makosa ujanani make akashindwa kuwaandalia Watoto wake maisha...Jukumu LA Watoto ni kukomaa na kumaliza umasikini kwenye familia...sio Julia lia na historia ya baba...Vile vile waafrica tuachane na historia maana hata tukijipamba VP kuwa Sijui sisi ndo baba wa civilization haitasaidia chochote kama tutaendelea kuwa hoehae...tukijikwamua hapa tulipo ndo tutaheshimiwa kama waafrica ila tukibaki tulivyo au kuendelea kurudi nyuma...Tutaendelea kudharauliwa tu no matter how hard we try to sugarcoat Africans history..