Wazungu Hamnazo

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Hii imekaaje jamani?
Busu.jpg
 
ofcoz ndo mana hata ukimwi nafikiri ulisababishwa ma mambo haya ya kizungu ambayo wenyewe wanachukulia kama maendeleo ya sayansi na tecnologia katika suala zima la mapenzi.Aisee wapumbavu sana hao!!!
 
mara nyingi hawa jamaa wanalia sana pindi mbwa wao wakifa, sababu ni hiyo>
 
Hahahah! kweli wanaume wamechoka sana. Hata wanawake tumechoka kama dume zima na akili linalala na mbuzi, mbwa si balaa! Mungu atunusuru uzungu unapotupeleka ni kubaya zaidi.
 
Nimesikia huko Norway wameanza kudai haki ya kufanya mapenzi na wanyama waowafuga,hao ndio wazungu ambao kila leo tunawaiga kwa ujinga wao
 
Nimesikia huko Norway wameanza kudai haki ya kufanya mapenzi na wanyama waowafuga,hao ndio wazungu ambao kila leo tunawaiga kwa ujinga wao
Baadae na sisi kuna watu wataanza kuandamana kudai haki ya kufanya matakataka haya ya wazungu.
 
ofcoz ndo mana hata ukimwi nafikiri ulisababishwa ma mambo haya ya kizungu ambayo wenyewe wanachukulia kama maendeleo ya sayansi na tecnologia katika suala zima la mapenzi.Aisee wapumbavu sana hao!!!


mbona kwao uHIV iko chini
 
Mmmmh geza geza hupasuka msamba haya sasa wabongo hapo je!!!!
 
Kwa staili hii nauaaaa mbwa wangu ndio maana anapenda kulishwa na mama huenda wanakula vingi!na amfuate the great!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom