Ya ngosweeeeee!
Baadae na sisi kuna watu wataanza kuandamana kudai haki ya kufanya matakataka haya ya wazungu.Nimesikia huko Norway wameanza kudai haki ya kufanya mapenzi na wanyama waowafuga,hao ndio wazungu ambao kila leo tunawaiga kwa ujinga wao
ofcoz ndo mana hata ukimwi nafikiri ulisababishwa ma mambo haya ya kizungu ambayo wenyewe wanachukulia kama maendeleo ya sayansi na tecnologia katika suala zima la mapenzi.Aisee wapumbavu sana hao!!!