Wazungu bora kuliko waafrika?

Eti huyu kichwa panzi anasema wazungu hawacheat?? Hoja zake ni za kijinga mpaka inatia hasira, kwa anataka kusema cheating is a middle name of 80% of Tz men?? Takwimu za wapi na kazipata wapi na kazilinganisha na zipi , kutoka wapi??

Abdulhalim, hebu niambie ni wapi hujamwelewa huyu dada vizuri? Of course, these are not real statistics - they are a reflection of objective observations from many friends, colleagues, relationships/marriages she knows, and I would tend to concur with her! Kweli unaweza kucompare cheating ya wazungu na ya wabongo?!?!? Bongo cheating imekuwa the norm, siyo the exception. Hujasikia wanaume wakisema, "aisee, nilipokuwa chuo bwana, hamna bweni ambalo sijalala [akimaanisha kuwa ameshafanya ngono na wanawake wa kila bweni], ama kama dada anavyosema "[wanafanya] nao ngono halafu wanakaa bar na kuanza kuhadithia rafiki zao, 'Yule demu yuko hivi yuko vile', huu mji ni mdogo sana, unaingia sehemu unadhani umevaa nguo kumbe watu wanakujua ulivyo ukiwa uchi…". Tena five doubles or lagers into the evening, hizo ndizo story utakazozisikia?

Na siyo kwenye fidelity tu. Vipi, unaona kweli mwanamke anathaminiwa? Anafanya the majority of work, yupo responsible for house/children, lakini halipwi na often hana mamlaka yeyote na pesa za mumewe. Mi baadhi ya wafanyakazi wenzangu wanawake wanaomba ruhsa [siyo kuwaarifu
waume zao] kwa woga wakitaka kutoka get-together ya idara. Mpaka mimi, kama mkuu wao wa idara, nitafute namna ya kuwaambia waume zao au kuwaandika barua inayothibitisha kwamba kuna tukio la idara. Male domination in full swing. Mwanaume wa kizungu hana hizo.

Nimekaa Ulaya 9 years. I tell you they are different! Huku, mwanamke haheshimiwi hata akitoa hoja. Usishangae kuna members wa JF ambao ni wanawake wenye male profile kwa sababu inawapa fursa ya kuchangia hoja bila ya kudharauliwa kama walivyozoea kudharauliwa katika mazungumzo. They never feel that a man takes them serious when they voice their opinion. All because views zetu kuelekea wanawake wetu bado ni premature.

Of course, kuna wanaume ambao wakisoma post ya huyu dada watapinga out of pride, maana imehatarisha nafasi zao za ubabe/domination na inatia hofu kujua kwamba it is an increasing trend for women to prefer wazungu. Mi naiona post yake kama changamoto kwetu kubadili mitazamo yetu. Most wome want love, respect, dignity, committment [yes there are those who want money, but they'll get their unfaithful men, and leave the decent men to the decent women]. Tukiwapa machache hayo, hawa wazungu hawatacheza tena sana kwenye anga letu.
After all, we're much more good looking than them!
 
Watu wengine sijui mmeishi na wazungu gani tu. Mambo ya ngono na infidelity hayana rangi - case in point - John Edwards, Mark Sanford, Newt Gingrich, John Ensign....I can go on and on and on to no end....

Hebu acheni ignorance na naivette bana. Ni wapi ambako cheating is not the norm? Watu mpaka wana capitalize na kuanzisha vipindi vya television (Cheaters) na tovuti (ashleymadison.com). Au ingieni hata craigslist.com kwenye personals muone jinsi watu wanavyobandika matangazo ya kutaka affair...
 
Watu wengine sijui mmeishi na wazungu gani tu. Mambo ya ngono na infidelity hayana rangi - case in point - John Edwards, Mark Sanford, Newt Gingrich, John Ensign....I can go on and on and on to no end....

Umesahau.,ongeza hapo Bill Clinton, David Beckham and so on and so forth....
 
Abdulhalim, hebu niambie ni wapi hujamwelewa huyu dada vizuri? Of course, these are not real statistics - they are a reflection of objective observations from many friends, colleagues, relationships/marriages she knows, and I would tend to concur with her! Kweli unaweza kucompare cheating ya wazungu na ya wabongo?!?!? Bongo cheating imekuwa the norm, siyo the exception. Hujasikia wanaume wakisema, "aisee, nilipokuwa chuo bwana, hamna bweni ambalo sijalala [akimaanisha kuwa ameshafanya ngono na wanawake wa kila bweni], ama kama dada anavyosema "[wanafanya] nao ngono halafu wanakaa bar na kuanza kuhadithia rafiki zao, 'Yule demu yuko hivi yuko vile', huu mji ni mdogo sana, unaingia sehemu unadhani umevaa nguo kumbe watu wanakujua ulivyo ukiwa uchi…". Tena five doubles or lagers into the evening, hizo ndizo story utakazozisikia?

Na siyo kwenye fidelity tu. Vipi, unaona kweli mwanamke anathaminiwa? Anafanya the majority of work, yupo responsible for house/children, lakini halipwi na often hana mamlaka yeyote na pesa za mumewe. Mi baadhi ya wafanyakazi wenzangu wanawake wanaomba ruhsa [siyo kuwaarifu
waume zao] kwa woga wakitaka kutoka get-together ya idara. Mpaka mimi, kama mkuu wao wa idara, nitafute namna ya kuwaambia waume zao au kuwaandika barua inayothibitisha kwamba kuna tukio la idara. Male domination in full swing. Mwanaume wa kizungu hana hizo.

Nimekaa Ulaya 9 years. I tell you they are different! Huku, mwanamke haheshimiwi hata akitoa hoja. Usishangae kuna members wa JF ambao ni wanawake wenye male profile kwa sababu inawapa fursa ya kuchangia hoja bila ya kudharauliwa kama walivyozoea kudharauliwa katika mazungumzo. They never feel that a man takes them serious when they voice their opinion. All because views zetu kuelekea wanawake wetu bado ni premature.

Of course, kuna wanaume ambao wakisoma post ya huyu dada watapinga out of pride, maana imehatarisha nafasi zao za ubabe/domination na inatia hofu kujua kwamba it is an increasing trend for women to prefer wazungu. Mi naiona post yake kama changamoto kwetu kubadili mitazamo yetu. Most wome want love, respect, dignity, committment [yes there are those who want money, but they'll get their unfaithful men, and leave the decent men to the decent women]. Tukiwapa machache hayo, hawa wazungu hawatacheza tena sana kwenye anga letu.
After all, we're much more good looking than them!

Umesema vyema sio real statistics. Sidhani kama ninalo la kuongeza. Maana shida yangu ni statistics kama hakuna mtu anazo this problem is reduced into 'maneno ya saluni' in logic its some version of Hasty Generalization based on NOTHING. Nothing at all.
 
Hii topic ukiiangalia kwa undani inakuwa ngumu kujadili!

Kwanza wazungu unawazungumzia hapa ni watu gani? Je wapolish/ hungarians/ ukranians /etc nao ni kundi la wazungu?

Kwa kifupi ni kwamba waingereza/dutch wako tofauti na east europeans ! Waingereza ku cheat especially wanawake ni kitu kidogo sana.. Wa east european kama vile waturuki/ hungarians ni waaminifu kulinganisha na wazungu(dutch/irish/british).

Wa philipino ni kama waafrika njaa tupu! Tamaa :) .Mwingereza anaweza kula uroda na wewe kwa sababu " she just need it" lakini waafrika (sio watanzania peke yao) lazima uwe na Gari zuri au uwezo fulani kipesa.

Huu mwaka wa nane ulaya kaka na mote humo tumepita "waphili, wapoli, waingereza na wengineo wengi " hii mada ngumu sio ya ku generalize tu. Wanaume wa kitanzania kama walivyo wanaume wengi wa kiafrika wanapenda Ngono hata dada zetu pia ndio maana cheating inakuwa kubwa. Wazungu wachovu ktk sex na vile vile malezi yao ni tofauti na waafrika.

Utagundua kwamba mwanamke mweupe aliyedate na black , always anakuwa ana prefer black people.

Hii ni experience ktk ulimwengu wa mapenzi, kwa wenye experience wanaweza kucomment vizuri zaidi. Lakini kama hujawahi utavuruga :)

Hakuna cha ubora hapo! Fanya research za ndoa za weupe na weusi utagundua inter marriage ni ngumu sana!

Ndoa ya watu wa taifa moja inakuwa rahisi zaidi ndio maana watu wengine wanaoa weupe for purpose (makaratasi) ila ni wachache for true love..

Regards
 
Mapenzi ni mapenzi no matter yanatoka kwa mzungu au Mtanzania,pia watu wote wanacheat wawe wazungu au Watanzania,Dunia ya sasa imeharibika hakuna uaminifu kabisa!!!
 
Mapenzi ni mapenzi no matter yanatoka kwa mzungu au Mtanzania,pia watu wote wanacheat wawe wazungu au Watanzania,Dunia ya sasa imeharibika hakuna uaminifu kabisa!!!


Umeongea kweli binti kisura . Angalia kipindi kimoja kinaitwa Cheaters ktk zone reality ndio utagundua kwamba wazungu wachafu kuliko hata sisi ila watu hawako aware na hili. Mentalite zetu zinafikiri wazungu bora kwa kila kitu. Kama duniani wangekuwa wanaishi waafrika peke yako uenda kiama kingechelewa kuja kwa maana wao ndio wanafulfill prediction za kiama na sisi tunaiga toka kwao.
Mfano:
1). Watu kutokuona aibu (Kukaa uchi). Wazungu wameanzisha kwenye program zao mbali mbali za TV na sisi tunaiga eti kwenda na wakati
2). Kuingiliana kinyume cha maumbile- watu wanaiga kweli porno movies ambayo waanzilishi ni wazungu. So utakuta kwamba mtu mweupe kachangia kwa kiasi kikubwa maandeleo na uharibu wa jamaa


Regards
 
Baba yangu mzungu, mchanganyiko Irish/dutch

Mama yangu msambaa lakini nilishangaa jana kukuta hii post kule JIACHIE.

JE NI KWELI KUWA WANAUME WAKIBONGO HAWANA MPANGO?
Sunday, January, 17, 2010

Salama jamani huko??
Kuna huyu dada mmoja wakiTanzania, yeye baada yakuolewa na mzungu anaona kuwa manamume wakibongo hawana mpango. Hebu soma hii blog yake....
Ni kweli wajomba zangu wakiswahili ni wayeyushaji?


Im not a great writer, that is evident. Sijui kupangilia sentensi zangu…..so bear with me
Sasa leo nataka tuweka wazi swala zima la wasichana wa kitanzania kuolewa au kuwa na maboyfriend wa kizungu.
Mimi binafsi nime-notice kwamba wasichana wengi wa kitanzania wamekuwa wakiona kwamba kuwa na boyfriend ama mume ambae ni mzungu is actually an achievement in life. Na wengi wamekuwa hawataki kabisa hata kuwa na ma-boyfriend ambao ni waa-africa especially watanzania.
Na kuna wasichana ambao nawajua ambao wako kwenye relationships na mwanaume wa kitanzania lakini anaeleza wazi wazi kwamba anatamani apate mwanaume wa kizungu.
Mdau wewe unanaoje swala hili? Je hawa wasichana ni kwamba they are shallow and stupid? Or are they very smart???
Really kabla huja-judge na kutuma comment za kuwatukana lifikirie hili swala vizuri…
Mimi personally naona kuna 2 sides to this issue.kuna wale ambao watanaka kuwa na wazungu na hawataki ku-date watanzania wenzao kwasababu za kijinga na zisizo na msingi,
1st side…
Kwa mfano kuna wengi facebook unaona mtu akipata boyfriend wa kizungu basi anamwaga picha zake na mzungu facebook, sasa hizo comments za marafiki nayeye mwenye mchumba ndio zinazotuharibia wengine wote..nashindwa kuelewa kabisa ni kwanini mtu akiweka picha yake na mzungu facebook basi kila mtu anamwandiki comment ‘UKO JUU', ‘UMEOPOA MAMA UKO JUU' , ‘KWELI MUNGU MKUBWA' , ‘RISKI ZIMEFUNGUKA MWAKA HUU', KWELI MUNGU AMEKUKUMBUKA' , comment kama hizi na zingine za disini hii zinanisikitisha mno…jamani hivi kweli kuwa na mwanaume mwenye ngozi nyeupe ni kitu cha maana kiasi hiki? alafu hivi kweli tumejishusha utu wetu kiasi cha kwamba tunafurahia in public? Kwanini msiweke comment kama ‘u look happy' ,'hongera kwa kupata mchumba and so forth' …kuwa na mzungu sidhani kama inamaanisha uko juu or whatever. (kama moja ya comment nilizoandika hapo zipo kwenye picha yako ,please usijisikie vibaya, niliitumia tu kama mfano ili kuwapa wasomaji wangu picha kamili,its really not about you)
hivi kweli hawa wazungu wenyewe wangekuwa wanajua kusoma Kiswahili humo facebook ingekuwaje??
Wanawake wenzangu wa kitanzania, tuache kujiabisha na hili swala zima la mzungu mzungu mzungu, especially kwenye facebook, mtu akikuwekea comment ya kishamba kama hizo hapo juu usiishadadie sana, ikiwezekana i-delete akuwekee comment ya maana, …
Kama wewe ni mwanamke ambae kupata mzungu is an achievement basi , I am sorry to say ,you are without a doubt a loser,
Wazungu wanamatizo mengi tu, na hata ukiangalia the highest divorce rates in the world zipo western countries na sio kwetu.
na kwa wale wenzetu wanaodhani wazungu wote wanapesa na kwamba atakuhonga basi unajidanganya kabisa, mzungu sio muhongaji , kama unataka kuhongwa bora mapedeshee ya kibongo litakununulia hata gari baada ya kukujua kwa siku chache tu.hahahahha….
Wazungu wanachukua muda wao kumsoma mtu na tabia zake, na kama kuna chochote atakachokufanyia ni baada ya muda mrefu na kwamba umeshakuwa mke wake au labda anahisi utaishia kuwa mke wake.
Na pia ndugu zetu wa kibongo wanaweza kuishi na mwanamke asie na income yoyote, na asiejishughulisha la lolote, asilimia kubwa ya wazungu hawawezi kabisa hii tabia.
So kabla hujarukia na kugeza watu, angalia usije kuchanika msamba…lol….

2nd side…
Kuna wale wasichana wa kibongo wanaotaka kuolewa na wazungu for the right reasons. Hao ndio ninaowalewa mimi…
Ukweli lazma tuuseme leo…
Asilimia kubwa ya wanaume wa kibongo ni miyeyusho mitupu , tuseme labda 80%....sasa wewe utakuwa na bahati gani mpaka upate mmoja wa hiyo 20% ambao ni wastaarabu.
Ukweli ni kwamba, nikiangalia rafiki zangu walioolewa na wanaume watanzania na walioolewa na wanaume wazungu, walioolewa na wazungu, are way more content in their marriages, ofcourse kuna exception za rafiki zangu wachache waliiolewa na wabongo na wana-enjoy ndoa zao na ndoa zao haziwapi homa kila siku…
Mie nafikiri,wanawake wengi wa kitanzania wameamua kuwa na wazungu kwasabu wanatafuta pumziko la roho…ukweli ni kwamba wanaume wengi wa kitanzania wanasumbua mno tena kupita kiasa.
Mwanaume wa kitanzania amelelewa akiona baba yake ana wake wawili na nyumba ndogo kama tatu, je unadhani yeye atakuja kuwa mume wa aina gani???? Mwanaume wa kitanzania anajiona ni mwanaume kamili zaidi kama anawanawake wengi, na kitu ambacho yupo proud nacho kiasi ya kwamba anaweza kukaa na rafiki zake bar akaadisia jinsi gani anawanawake wengi na wenzio wakamuona ‘YUKO JUU'….
Mwanaume wa kizungu, hajakulia kwenye mazingira haya and automatically ipo kichwani mwake kwamba anatakiwa kuwa faithfull kwa mke wake na kumtreat as an equal.hata ikitoea akawa macho juu akapata kidosho nje, atajificha, hutojua lolote na ni jambo la aibu sana kwake kiasi cha kwamba hawezi kuongelea hadharani.
Umeona tofauti hapo?
Huwa nasikitika sana, nikienda disco, unaona kabisa janamme lina mke na watoto, lipo disco na totos nyingine na anajua unamjua mke wake na labda utamueleza lakini haogopi kabisa,
Hivi kweli hapo unaweza kumlaumu mtoto wa kitanzania akianza kutafuta mzungu??? Anakuwa ni kwamba ameamua hataki kuumizwa roho yake wala akili yake ana anataka kuishi maisha yake in peace.
Sio kwamba wazungu hawacheat au na wao sio washenzi wakati mwingine, tofauti ni kwamba hiki sio kitu cha kawaida kwao na hata akiwa mshenzi basi huu ni samaki mmoja mmbovu,inabidi tu awekwe kwenye kapu la pekee…lol…
Mwanaume wa kitanzania, kama hajatembea na rafiki zako,au mtu ambae unamjua basi haoni raha kabisa,
And whats worse, wanaume wa kitanzania haachi mke wake hata siku moja, atamtesa mke wake miaka kibao lakini hamuachi..yani mmbongo atakufanyia vituko weeeee mpaka utaondoka mwenyewe utarudi kwenu, but mzungu akipata mtu nje, atakuja kukwambia on your face, i don't love you anymore,I love somebody else. Ofcourse inauma sana but atleast utakuwa umeachwa with respect, lakini kaka zetu atamake sure amekutoa all your dignity, kakuabisha mji mzima, amekutoa confidence yote ndio anakuacha…lol…
Na wasichana wengine wameniambia pia wanachukia tabia za kaka zetu za kufanya nao ngono alafu wanakaa bar na kuanza kuhadithia rafiki zao, Yule demu yuko hivi yuko vile, huu mji ni mdogo sana, unaingia sehemu unadhani umevaa nguo kumbe watu wanakujua ulivyo ukiwa uchi…

Basi siku hizi utawasikia wanaume wa kitanzania wanatukana hawa wanawake wetu wanatamaa sana, sijui wanawafatia nini wazungu,kila mtu mzungu,kila mtu mzungu.
Kaka zetu you are the best, lakini badilisheni tabia zenu….
Kuwa na wanawake wengi sio haki yako.sana sana ni kujitafutia magonjwa na kumpelekea mkeo asie na hatia.
Tunawapenda sana, lakini anzeni kutu-treat with respect ,love and humanity.
Ni hayo tu wadau kwa leo ambayo nimeweza kuyaelewa ndani yah ii issue nzima ya wanawake wa kitanzania na wazungu…….

wewe una yapi mdau?

ps. nitaweka comments zote ila zisiwe na matusi au majina ya watu..

18178_284054663097_624983097_4687929_1384610_n.jpg

http://michuzijr.blogspot.com/2010/01/je-ni-kweli-kuwa-wanaume-ma-wa-kibongo.html#comments

barua ndefu kama hii. tatizo jingine hatujajua umesimamia wapi. unawapaka wanaopata wazungu na kusifiwa na kuwasifia wazungu kwa upande mwingine. onyesha mustendi.
 
Umesema vyema sio real statistics. Sidhani kama ninalo la kuongeza. Maana shida yangu ni statistics kama hakuna mtu anazo this problem is reduced into 'maneno ya saluni' in logic its some version of Hasty Generalization based on NOTHING. Nothing at all.
I don't think it's based on "NOTHING - nothing at all". No one may have collected quantitative info on this ([that I know of], as a research like that would have its limitations anyway) but TZ is a country in which women, in general, are yet subject to their husbands' and other men's moods and can do nothing about that. Many are beaten and have no way of leaving home. Many are raising their children without support from their fathers and their fathers can get away with it. What makes you think that infidelity will not flourish in a society in which women have only just started getting out of a dependency mentality than in one that has had, for instance, the suffregette movement some 100 years ago? Katika suala hili bado tuko nyuma!
 
Huyu mdafwada hamnazo kabisaaaaaa.....may b yupo ulaya but she z less informed

em tupe uraia wa hawa watu...1. Bill Clinton 2. david beckham, consider na status na

position waliokua nazo alafu tuendelee...unajua hivi vi sungura tope ni vile

ambavyo mtaani tunaviiita madung'a embe....yani vimekua usediiiiiiiiiiiii mpaka basi

so vinatafuta uhalali wa kuwa katika state yao....af sikuhizi naona wanakipindi tbc

eti wanajadili mahusiano kana kwamba wao ndo watu waliofanikiwa saaana kwenye

hiyo sector ya mahusiano....hahahahhaah ntaendelea kesho naskia usingizi ss hv
 
I don't think it's based on "NOTHING - nothing at all". No one may have collected quantitative info on this ([that I know of], as a research like that would have its limitations anyway) but TZ is a country in which women, in general, are yet subject to their husbands' and other men's moods and can do nothing about that. Many are beaten and have no way of leaving home. Many are raising their children without support from their fathers and their fathers can get away with it. What makes you think that infidelity will not flourish in a society in which women have only just started getting out of a dependency mentality than in one that has had, for instance, the suffregette movement some 100 years ago? Katika suala hili bado tuko nyuma!

Dah hii kali jamani. Hao wanaocheat hivi wanacheat na kina nani? Nadhani hii ni generalisation koote maana km wanaume wanacheat obvious wapo wanaocheat nao.
Mf; Wapo wanaume wameoa na wananyumba ndogo na hizo nyumba ndogo zinajijua kwamba ni nyumba ndogo. Kwahiyo nazo zinacheat. So kucheat ni relative na wanaume wanacheat na hao wanaojifanya wanachukia cheating.
Kuhusu jamii fulani, tunahitaji utafiti hakuna kitu kisichotafitika. Wazungu wanacheat km ilivyo Waafrika ni issue ya inferiority tu ndio inatusmbua.
 
I don't think it's based on "NOTHING - nothing at all". No one may have collected quantitative info on this ([that I know of], as a research like that would have its limitations anyway) but TZ is a country in which women, in general, are yet subject to their husbands' and other men's moods and can do nothing about that. Many are beaten and have no way of leaving home. Many are raising their children without support from their fathers and their fathers can get away with it. What makes you think that infidelity will not flourish in a society in which women have only just started getting out of a dependency mentality than in one that has had, for instance, the suffregette movement some 100 years ago? Katika suala hili bado tuko nyuma!

Those data are not there, unavailable, nukta!, no but's or if's!

Sijaelewa tatizo lipo wapi??! au ni vigumu sana kueleweka??
I wanted the whole thing to be based on statistics, which u agreed there is none. No data is nothing to me, and any conclusion from such propositions(s) would be meaningless, useless & baseless. Hili la statistics ndio tatizo langu, huwezi kuleta bold claim kama hizi based on 'no data model'. Hapana.
 
ushenzi ni tabia ya mtu, si ya race. Kuna washenzi weupe na weusi.Kuna watu safi weupe na weusi.Na rangi zote anazoitwa binadamu.
 
Why do most pple get reduced into thinking of a central brain phenomenon. Kwamba Tanzanian men have a single central brain na kila kitu kinatokea hapo, na wazungu ni individuals............ Hii mijadala mingine ianonyesha ni jinsi gani jamii yetu inavyoendeshwa na myths. We need myth busters........don't we????????? Adam and Jamie welcome to Tz.
 
......Huyu aliyochambua hii mada sijui aliwahi kuishi au kukaa kidogo na hawa wazungu,maana naona kaongea kijuu juu tu. Huyu hajui wazungu, nadhani anamjua vizuri huyo mzungu mswahili aliokuwa naye.
Ukija kwenye swala la mapenzi wanaume wote wanafanana, hakuna cha mzungu wala mweusi.Kwa wale waliowahi kukaa nje ya bongo nadhani wanalitambua vizuri hili swala.Ndio maana huko ughaibuni divorce rate ipo juu kuliko africa, hivyo tusijidanganye wadada kwamba kuolewa na mzungu basi mwanaume huyo hatacheat, inategemea tu na tabia yake. Kama ilivyo kwa weusi, kuna baadhi wanacheat na wengine wala hawacheat.
 
Abdulhalim, hebu niambie ni wapi hujamwelewa huyu dada vizuri? Of course, these are not real statistics - they are a reflection of objective observations from many friends, colleagues, relationships/marriages she knows, and I would tend to concur with her! Kweli unaweza kucompare cheating ya wazungu na ya wabongo?!?!? Bongo cheating imekuwa the norm, siyo the exception. Hujasikia wanaume wakisema, "aisee, nilipokuwa chuo bwana, hamna bweni ambalo sijalala [akimaanisha kuwa ameshafanya ngono na wanawake wa kila bweni], ama kama dada anavyosema "[wanafanya] nao ngono halafu wanakaa bar na kuanza kuhadithia rafiki zao, 'Yule demu yuko hivi yuko vile', huu mji ni mdogo sana, unaingia sehemu unadhani umevaa nguo kumbe watu wanakujua ulivyo ukiwa uchi…". Tena five doubles or lagers into the evening, hizo ndizo story utakazozisikia?

Na siyo kwenye fidelity tu. Vipi, unaona kweli mwanamke anathaminiwa? Anafanya the majority of work, yupo responsible for house/children, lakini halipwi na often hana mamlaka yeyote na pesa za mumewe. Mi baadhi ya wafanyakazi wenzangu wanawake wanaomba ruhsa [siyo kuwaarifu waume zao] kwa woga wakitaka kutoka get-together ya idara. Mpaka mimi, kama mkuu wao wa idara, nitafute namna ya kuwaambia waume zao au kuwaandika barua inayothibitisha kwamba kuna tukio la idara. Male domination in full swing. Mwanaume wa kizungu hana hizo.

Nimekaa Ulaya 9 years. I tell you they are different! Huku, mwanamke haheshimiwi hata akitoa hoja. Usishangae kuna members wa JF ambao ni wanawake wenye male profile kwa sababu inawapa fursa ya kuchangia hoja bila ya kudharauliwa kama walivyozoea kudharauliwa katika mazungumzo. They never feel that a man takes them serious when they voice their opinion. All because views zetu kuelekea wanawake wetu bado ni premature.

Of course, kuna wanaume ambao wakisoma post ya huyu dada watapinga out of pride, maana imehatarisha nafasi zao za ubabe/domination na inatia hofu kujua kwamba it is an increasing trend for women to prefer wazungu. Mi naiona post yake kama changamoto kwetu kubadili mitazamo yetu. Most wome want love, respect, dignity, committment [yes there are those who want money, but they'll get their unfaithful men, and leave the decent men to the decent women]. Tukiwapa machache hayo, hawa wazungu hawatacheza tena sana kwenye anga letu. After all, we're much more good looking than them!

Excellent point!, mostly they(wazungu) think upstairs and wabongo men think downstairs(chini ya kiuno)
 
Yeye ndiyo hana mpango, ukiwaona wanaume wa Tanzania nzima kuwa haawana mpango ujue unaa matatizo ya AKILI, tena huna mpango, limbukeni mkubwa. Wazungu wangapi wameolewa na watanzania? tena wanazinguka vilivyo na mapenzi ya kibongo! ukweli ulio wazi ni kwamba, mademu wengi wako kimaslahi zaidi, akiona mzungu tu anajua mambo safi, dadA mmoja ameolewa na Muingereza lakini choka mbaya tu-akirudi bongo kazi kufakamia vijana wa kijiweni anataka mpipi wa uhakika......KARAGABAHO
 
Why do most pple get reduced into thinking of a central brain phenomenon. Kwamba Tanzanian men have a single central brain na kila kitu kinatokea hapo, na wazungu ni individuals............ Hii mijadala mingine ianonyesha ni jinsi gani jamii yetu inavyoendeshwa na myths. We need myth busters........don't we????????? Adam and Jamie welcome to Tz.


agr
 
Mapenzi ni mapenzi no matter yanatoka kwa mzungu au Mtanzania,pia watu wote wanacheat wawe wazungu au Watanzania,Dunia ya sasa imeharibika hakuna uaminifu kabisa!!!

Good point Sugar wa Kweli!!!! Huyo binti amekuwabrainwashed na ni mshamba na limbukeni wa kupindukia!!!!!!

Those kinds of people lives in other people's dreams!
 
Back
Top Bottom