Wazungu bora kuliko waafrika?

Umeongea kweli binti kisura . Angalia kipindi kimoja kinaitwa Cheaters ktk zone reality ndio utagundua kwamba wazungu wachafu kuliko hata sisi ila watu hawako aware na hili. Mentalite zetu zinafikiri wazungu bora kwa kila kitu. Kama duniani wangekuwa wanaishi waafrika peke yako uenda kiama kingechelewa kuja kwa maana wao ndio wanafulfill prediction za kiama na sisi tunaiga toka kwao.
Mfano:
1). Watu kutokuona aibu (Kukaa uchi). Wazungu wameanzisha kwenye program zao mbali mbali za TV na sisi tunaiga eti kwenda na wakati
2). Kuingiliana kinyume cha maumbile- watu wanaiga kweli porno movies ambayo waanzilishi ni wazungu. So utakuta kwamba mtu mweupe kachangia kwa kiasi kikubwa maandeleo na uharibu wa jamaa

We nawe ovyo kweli, kwani wamewadunga sindano ya kuwalazimisha wawaige, si akili zao mbovu ndio zimewatuma, kama wamewaona wazungu wanakaa uchi na wao wakaiga thats not our problem, kama wameona siku hizi fashion ni kinyume na maumbile na ndio maana wanafanya, shauri yako watakufa macho wazi!!!!! Hapa tunazungumzia 2nd part of the story iliyowekwa hapo juu and if you read properly utaona 1st part amewaponda wana wadada wanaopenda wazungu ili tu wapande chat za kijinga.
 
Huyu dada amesema kuna wazungu ambao sio waaminifu kwenye ndoa zao hakusema hakuna kabisa, alisema wapo na cha kufurahisha mnaowajua nyie ni wenye majina makubwa tu. Ila ukweli ni kwamba anachoongea huyu dada ni cha KWELI na mimi ninaona pia.

Kuna wanaume wa kitanzania ni waaminifu sana kwenye ndoa zao na sio wachache ni wengi tu ambao nimeshakutana nao, ila kuna wengi waliowazidi hao waaminifu ambao ni kiboko. Kama huyu dada alivyosema mzungu akipenda nje ya ndoa anaenda straight kumwambia mkewe "I am in love with someone else"

Sasa tukija kwa wakibongo anafunga ndoa leo anaenda honeymoon wiki akirudi the first evening kwa hawara. Na mbaya zaidi asilimia kubwa ya wanakamati waliosaidia harusi yake wote wanamjua huyo hawara na hata huyo hawara alikuweko kwenye hiyo harusi. Sasa niambieni mnabisha nini kama watoto wadogo msiojua a wala b? Mnalalamika kuwa haelewi na kumtukana wakati anachoongea ni cha kweli kabisa!!!

Ni kweli ulaya kunaongoza kwa divorce nyingi ila mi naona ni bora sehemu ambayo watu wanaachana kila kukicha kuliko sehemu ambayo watu wanang'ang'aniana wakati ndoa hawaiwezi tena. Watanzania wengi wanaoa basi tu mazoea na tamaa ya "kila rafiki yangu ameoa na kuolewa" so lazima na mimi nioe ndio maana uaminifu unakuwa kidogo sana. Asilimia kubwa ya wazungu hawaoi tu mradi wameoa kwamba muda sasa umefika no, they always want to be sure first before committing their life to someone else.

Wachumba wa kibongo nao ndio michosho imezidi, mimi kuna watu waliniambia wazi ziku nilipohoji sasa unao wengi hivi itajuwaje siku ukitaka kuoa na wakasema "nitamuoa huyu x maana ni mpole hatanisumbua sana nyumbani kama nikiwa na misele yangu mingine". unaona hapo? Yaani atamuoa yule mpole ambaye hatamuuliza ulikuwa wapi usiku wote huu maana hatawaacha hao wengine aliokuwa nao kabla hajaoa. Upumbavu na ujinga uliopitiliza!
 
Huyu mdafwada hamnazo kabisaaaaaa.....may b yupo ulaya but she z less informed

em tupe uraia wa hawa watu...1. Bill Clinton 2. david beckham, consider na status na

position waliokua nazo alafu tuendelee...unajua hivi vi sungura tope ni vile

ambavyo mtaani tunaviiita madung'a embe....yani vimekua usediiiiiiiiiiiii mpaka basi

so vinatafuta uhalali wa kuwa katika state yao....af sikuhizi naona wanakipindi tbc

eti wanajadili mahusiano kana kwamba wao ndo watu waliofanikiwa saaana kwenye

hiyo sector ya mahusiano....hahahahhaah ntaendelea kesho naskia usingizi ss hv

Yaani, nimewaza sana nikuite jina gani nikakosa irresponsible no, illiterate may be, no, ngoja nikipata nitakuambia. Tuendelee, kwanza huyu dada hakusema wazungu WOTE ni waaminifu. Pili, unadhani kwa nini asilimia kubwa ya wasichana huko mtaani kwenu unawaita manung'ayembe? Ni kwa sababu wewe ni nung'ayembe mwanaume.

Statement zako ulizoziandika hapa zinaonyesha jinsi gani unavyopenda kuwa na wanawake wengi na huyu binti inaelekea kakugusa kweli maana ukweli daima ni msumari wa moto. You dont believe in true love kabisa na ndio maana huwezi kuwa mwaminifu kwa mwanamke mmoja. Huwezi kuwaita wanawake "visungura tope" if you are in love with one of them, hata kidogo. Ubongo wako umeminywa kiasi kwamba you are now living in the little tiny world of yours which believes that mwanamke ambaye hajaolewa ni "nung'ayembe"
 
......Huyu aliyochambua hii mada sijui aliwahi kuishi au kukaa kidogo na hawa wazungu,maana naona kaongea kijuu juu tu. Huyu hajui wazungu, nadhani anamjua vizuri huyo mzungu mswahili aliokuwa naye.
Ukija kwenye swala la mapenzi wanaume wote wanafanana, hakuna cha mzungu wala mweusi.Kwa wale waliowahi kukaa nje ya bongo nadhani wanalitambua vizuri hili swala.Ndio maana huko ughaibuni divorce rate ipo juu kuliko africa, hivyo tusijidanganye wadada kwamba kuolewa na mzungu basi mwanaume huyo hatacheat, inategemea tu na tabia yake. Kama ilivyo kwa weusi, kuna baadhi wanacheat na wengine wala hawacheat.

Pretty, hebu waza, unadhani kuna mwanamke wa kizungu ambaye angekubali kuvumilia mateso wanayoyapata wanawake wa kitanzania kutoka kwa waume zao? Leo yuko na huyu, kesho yule na anakuonyesha wazi, kila weekend club kurudi saa nane usiku, hana muda na watoto na hapo bado hajapata kibano cha nguvu si angeachana naye? Sasa hawa dada zetu wa kitanzania wanang'ang'ana tu ndani, hata wateswe vipi, mimi nina ndugu yangu anapigwaga mno, mara leo kavunjwa mguu, kesho mkono, kesho kutwa hiki mpaka tunashikwa na hasira kama wakaka tunamtoa huko, lakini bado anarudi kwa mumewe, mpaka tumeamua kujiachia tu wenyewe tusubiri auwawe tuzike, ingekuwa ni mzungu siku nyingi sana ameshasign talaka na maisha yanasonga mbele. Na ndio maana divorce rate iko juu maana most european women are independent and not afraid of facing big challenges in life. Wanawake wanatakiwa waamke huo usingizi mzito wa ulimbukeni waliolala kwamba nikiachana na mume wangu nitachekwa na watu maana ndicho kinachowaogopesha.
 
Pretty, hebu waza, unadhani kuna mwanamke wa kizungu ambaye angekubali kuvumilia mateso wanayoyapata wanawake wa kitanzania kutoka kwa waume zao?

Kuna wanawake wengi tu wa kizungu ambao wako kwenye abusive (physical, mental, and emotional) relationships. Kila siku baadhi yetu tunawaona, tunaongea nao na wanatueleza matatizo yao.
 
We nawe ovyo kweli, kwani wamewadunga sindano ya kuwalazimisha wawaige, si akili zao mbovu ndio zimewatuma, kama wamewaona wazungu wanakaa uchi na wao wakaiga thats not our problem, kama wameona siku hizi fashion ni kinyume na maumbile na ndio maana wanafanya, shauri yako watakufa macho wazi!!!!! Hapa tunazungumzia 2nd part of the story iliyowekwa hapo juu and if you read properly utaona 1st part amewaponda wana wadada wanaopenda wazungu ili tu wapande chat za kijinga.

Wewe na hovyo kweli unamaanisha nini????? Kwani lazima udungwe sindano ndio uige mambo?. Hujui kwamba watu wanaiga mabaya na mazuri ktk jamii au wewe unaishi dunia ya ngapi? Inaonyesha uelewa wako mdogo sana ktk mambo mbali mbali. Usijibu comment ilimradi uonekane umejibu au unanifahamu ndio maana unaleta upinzani?

Changia topic kama unamaneno ya kuongea kama huna kaa kimya.. Hiyo topic nadhani hujaielewa na vile vile hao wazungu wenyewe unawasikia na kuwaona kwenye TV tu...
Nilikuwa nasupport point ya binti kisura wewe unaachama achama tu ili mlimradi uongeze number ya post!

Habari ndio hiyo !

Regards
 
Huyu dada amesema kuna wazungu ambao sio waaminifu kwenye ndoa zao hakusema hakuna kabisa, alisema wapo na cha kufurahisha mnaowajua nyie ni wenye majina makubwa tu. Ila ukweli ni kwamba anachoongea huyu dada ni cha KWELI na mimi ninaona pia.

Kuna wanaume wa kitanzania ni waaminifu sana kwenye ndoa zao na sio wachache ni wengi tu ambao nimeshakutana nao, ila kuna wengi waliowazidi hao waaminifu ambao ni kiboko. Kama huyu dada alivyosema mzungu akipenda nje ya ndoa anaenda straight kumwambia mkewe "I am in love with someone else"

Sasa tukija kwa wakibongo anafunga ndoa leo anaenda honeymoon wiki akirudi the first evening kwa hawara. Na mbaya zaidi asilimia kubwa ya wanakamati waliosaidia harusi yake wote wanamjua huyo hawara na hata huyo hawara alikuweko kwenye hiyo harusi. Sasa niambieni mnabisha nini kama watoto wadogo msiojua a wala b? Mnalalamika kuwa haelewi na kumtukana wakati anachoongea ni cha kweli kabisa!!!

Ni kweli ulaya kunaongoza kwa divorce nyingi ila mi naona ni bora sehemu ambayo watu wanaachana kila kukicha kuliko sehemu ambayo watu wanang'ang'aniana wakati ndoa hawaiwezi tena. Watanzania wengi wanaoa basi tu mazoea na tamaa ya "kila rafiki yangu ameoa na kuolewa" so lazima na mimi nioe ndio maana uaminifu unakuwa kidogo sana. Asilimia kubwa ya wazungu hawaoi tu mradi wameoa kwamba muda sasa umefika no, they always want to be sure first before committing their life to someone else.

Wachumba wa kibongo nao ndio michosho imezidi, mimi kuna watu waliniambia wazi ziku nilipohoji sasa unao wengi hivi itajuwaje siku ukitaka kuoa na wakasema "nitamuoa huyu x maana ni mpole hatanisumbua sana nyumbani kama nikiwa na misele yangu mingine". unaona hapo? Yaani atamuoa yule mpole ambaye hatamuuliza ulikuwa wapi usiku wote huu maana hatawaacha hao wengine aliokuwa nao kabla hajaoa. Upumbavu na ujinga uliopitiliza!

Wewe MTU WA MBAGALA NIMESHAKUJUA.... usiye na mkia nadhani umenielewa
 
Pretty, hebu waza, unadhani kuna mwanamke wa kizungu ambaye angekubali kuvumilia mateso wanayoyapata wanawake wa kitanzania kutoka kwa waume zao? Leo yuko na huyu, kesho yule na anakuonyesha wazi, kila weekend club kurudi saa nane usiku, hana muda na watoto na hapo bado hajapata kibano cha nguvu si angeachana naye? Sasa hawa dada zetu wa kitanzania wanang'ang'ana tu ndani, hata wateswe vipi, mimi nina ndugu yangu anapigwaga mno, mara leo kavunjwa mguu, kesho mkono, kesho kutwa hiki mpaka tunashikwa na hasira kama wakaka tunamtoa huko, lakini bado anarudi kwa mumewe, mpaka tumeamua kujiachia tu wenyewe tusubiri auwawe tuzike, ingekuwa ni mzungu siku nyingi sana ameshasign talaka na maisha yanasonga mbele. Na ndio maana divorce rate iko juu maana most european women are independent and not afraid of facing big challenges in life. Wanawake wanatakiwa waamke huo usingizi mzito wa ulimbukeni waliolala kwamba nikiachana na mume wangu nitachekwa na watu maana ndicho kinachowaogopesha.
Kama uko ulaya nadhani unafahamu kwamba goverment inaawangalia single moms, yani uki divorce na kuwa single mom unapata benefit ya kiasi fulani cha pesa kila wiki. Vile vile gov zina support watu wasio na kazi. Hiyo inapelekea both wanaume na wanawake kuwa independent. Vile vile inapelekea wanawake wengi kutokuwa wavumilivu maana wanaweza kuwa independent kutokana na gov kuwaangalia. Hayo mateso unayoyazungumzia wewe ni mateso gani? Yani ndugu yako kateswa unaunganisha wanawake as if ni wengi ajabu. Unasema eti Wanawake wanatakiwa waamke huo usingizi mzito wa ulimbukeni waliolala kwamba nikiachana na mume wangu nitachekwa. Wewe dini gani? Dini zote hazisupport divorce badala ya kushauri wanaume wabadilike na ku treat wake zao vyema unasisitiza kuacha should normal thing. Kama upo ulaya basi wewe unashinda care au warehouse yani huna social life na kujua maisha yanakwendaje huku! Kama uko tz basi tafuta visa njoo ujionee kisha utume comment otherwise waachie kina binti kisura na pretty wachangie.
 
Mmh miye sina wa kumtetea ila hizi ni Kasumba,,,,Kusema kweli unajua nini nhata wanaume pia huwa mnasema kuwa ni bora uoe/date mwanamke wa kizungu kuliko mwanamke wa kitanzania..."UONGO"?...Huwa hamsemi hivyo.......so sioni sababu ya kumjia juu huyo Mange alivyota hoja yake...Mkuki kwa nguruwe ....au mmeshasahau?....

Ila really talk....ukija kuangalia divorce rate wazungu wanaongoza kuliko hata hizi tangi nyeusi!...hakuna watu wanaojua ku cheat kama wazungu (Both sex)....Na cheating ni jadi ya mtu! kuna vijana wengine wa kitanzania very potential ila kuwapata inahitaji a lot of hard work....
 
Mmh miye sina wa kumtetea ila hizi ni Kasumba,,,,Kusema kweli unajua nini nhata wanaume pia huwa mnasema kuwa ni bora uoe/date mwanamke wa kizungu kuliko mwanamke wa kitanzania..."UONGO"?...Huwa hamsemi hivyo.......so sioni sababu ya kumjia juu huyo Mange alivyota hoja yake...Mkuki kwa nguruwe ....au mmeshasahau?....

Ila really talk....ukija kuangalia divorce rate wazungu wanaongoza kuliko hata hizi tangi nyeusi!...hakuna watu wanaojua ku cheat kama wazungu (Both sex)....Na cheating ni jadi ya mtu! kuna vijana wengine wa kitanzania very potential ila kuwapata inahitaji a lot of hard work....

mbona vijana waaminifu tupo wengi but..
hamtu appreciate inavyopaswa.....
 
Why should i watch my language while language yangu ipo straight!.....I don't tukana since i am a born again!.......and you should do the same

you sound like an angry ex girlfriend....
unless offcourse, too much anger is love.......
 
Kama uko ulaya nadhani unafahamu kwamba goverment inaawangalia single moms, yani uki divorce na kuwa single mom unapata benefit ya kiasi fulani cha pesa kila wiki. Vile vile gov zina support watu wasio na kazi. Hiyo inapelekea both wanaume na wanawake kuwa independent. Vile vile inapelekea wanawake wengi kutokuwa wavumilivu maana wanaweza kuwa independent kutokana na gov kuwaangalia. Hayo mateso unayoyazungumzia wewe ni mateso gani? Yani ndugu yako kateswa unaunganisha wanawake as if ni wengi ajabu. Unasema eti Wanawake wanatakiwa waamke huo usingizi mzito wa ulimbukeni waliolala kwamba nikiachana na mume wangu nitachekwa. Wewe dini gani? Dini zote hazisupport divorce badala ya kushauri wanaume wabadilike na ku treat wake zao vyema unasisitiza kuacha should normal thing. Kama upo ulaya basi wewe unashinda care au warehouse yani huna social life na kujua maisha yanakwendaje huku! Kama uko tz basi tafuta visa njoo ujionee kisha utume comment otherwise waachie kina binti kisura na pretty wachangie.

Yaani nilitegemea kuwa wewe ni mwanamke mwenye busara sana na ndio maana nikajieleza haswa kumbe walewale tu! Kuwa supported na goverment is not the reason why some people are independent in europe, trust me, ni mentality yako tu ndio itakayoamua.

Baadhi ya wanawake wa kitanzania ni waoga kupita kiasi when it comes to face challenges. Nimetoa mfano wa ndugu yangu ili upate picha kamili ya wanawake wanavyoteseka na si kwamba ninao mfano huo tu, ninayo mingi na mingine mpaka inatisha jinsi baadhi ya wanaume walivyo, mwanaume anaweza kumpiga mke wake sana kiasi kwamba mke akipata upenyo akakimbia nje anamkimbiza na PANGA mpaka barabarani watu wote wakishangaa na bila aibu anaendelea kumpiga, mbele ya watoto wake binafsi, majirani, n.k mpaka watu baki wanamwokoa huyo mwanamke and sadly, after all that humiliation still huyo mwanamke anaendelea kukaa na huyo mwanaume na nilipomuuliza kwa nini asitafute maisha yake mengine alisema hivyohivyo, "sasa jamii itanielewaje"? Sasa ni uvumilivu gani unataka huyo mwanamke awe nao hapo?

Baadhi ya wanawake wa kitanzania mnaolewa ili muonekane na nyie mmeolewa mbele ya jamii na maisha yenu yote mnaishi kwa sababu ya jamii na sio yenu binafsi, na ndio maana wengi wenu mnaoverlook tabia za baadhi ya waume mlionao kabla hawajawaoa kwa kudhani kuwa wakishaoa watabadilika, matokeo yake mambo kama hayo yakianza kuwatokea mnashindwa kutoka na kubakia kusingizia dini, dini! Ina maana mume wako atakudhalilisha kwa kukupiga kila siku tena mbele za watu na kutembea nje na wanawake, tena wengi wao wakiwa ni marafiki zako then uendelee kuvumilia kisa dini zinakataa divorce? Are you that crazy? Ni wanawake wangapi tunawaona mahospitali wakiwa wameunguzwa na moto, kukatwakatwa viungo na waume zao because they were forgiving them all the time mpaka yanawakuta makubwa zaidi? Aisee we ni kiboko, yaani kama ni kweli unasupport hao wanawake waendelee kunyanyasika ndani ya ndoa zao basi wewe ni mwanamke wa kwanza limbukeni kuliko malimbukeni wote niliowahi kukutana nao.
 
Back
Top Bottom