Wazo zuri sana kwa jobless

Wazo zuri sana kwa jobless

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Tiba asili ndio mkombozi wa waafrica.

Allah
Yesu
Ni matokeo ya ujio wa wageni.

Hii hapa njia ya kupata connection au ajira direct.
Mtalaamu anakuitia jini unaingia mkataba nalo likutafutie KAZI baada ya hapo unatoa kafara ya mnyama(ng'ombe)

Baada ya hapo unakuwa tayari na KAZI Yako ya maana tu na maisha yanaenda kama kawaida.

Karibuni kwa ushauri na mawazo
 
😁😁😁😁 ngoja waje wafia mwamposa na shehe kipoozeo ,,watakukataliaa katu KATU na watakukemea Kwa Majin yt ya manabii wao😁😁😁
 
Tiba asili ndio mkombozi wa waafrica.

Allah
Yesu
Ni matokeo ya ujio wa wageni.

Hii hapa njia ya kupata connection au ajira direct.
Mtalaamu anakuitia jini unaingia mkataba nalo likutafutie KAZI baada ya hapo unatoa kafara ya mnyama(ng'ombe)

Baada ya hapo unakuwa tayari na KAZI Yako ya maana tu na maisha yanaenda kama kawaida.

Karibuni kwa ushauri na mawazo
Haya mambo ya kichawi ndio yanafanya Afrika isiendelee. Afrika ni maskini kwasababu ya mambo ya kichawi. Nenda kwenye vijiji ambavyo wanafanya uchawi uone kama kuna maendeleo. Kwa Dar es Salaam nenda maeneo yanayo fanya huo uganga ulozi na uchawi nenda Mbagala, Gongo la Mboto, nenda Chanika nenda maeneo yote ya Pwani. Sehemu hizo hazina maendeleo kwasababu ya kufanya mambo ya uchawi, Uganda na ulozi.

Na sio hivyo tu hiyo mikataba unayo ingia ili upate hiyo connection inadumu vizazi vitatu hadi vinne. Vizazi vyako vitatu hadi vinne havitaendelea. Okoka Mwamini Yesu Kristo utapata hiyo connection.
 
Hapo unakuwa umepata kazi ya kukimbizana na majini ama live au ndotoni. Hell No!
 
Back
Top Bottom