Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Ni wakati sasa kwa Chadema kurudisha imani kwa wananchi ili iwe na nguvu kama ilivyokuwa wakati wa Dk Slaa.
Inaonekana wakati wa awamu ya tano walikuwa hawapambani na CCM bali na mtu mmoja ambae kwa sababu alikuwa na ushawishi mkubwa kisiasa aliwamaliza kabisa kisiasa. Huyo ni hayati JPM, sasa hayupo nafikiri Chadema wanao uwanja wa kurudisha nguvu zao.
Waweke hadharani akauti ya Chama na namba za M pesa, Tigo pesa ,Airtrl money ili tuwachangie. Pesa zote akabidhiwe mwekiti Mbowe azitunze maisha yasonge mbele.
Inaonekana wakati wa awamu ya tano walikuwa hawapambani na CCM bali na mtu mmoja ambae kwa sababu alikuwa na ushawishi mkubwa kisiasa aliwamaliza kabisa kisiasa. Huyo ni hayati JPM, sasa hayupo nafikiri Chadema wanao uwanja wa kurudisha nguvu zao.
Waweke hadharani akauti ya Chama na namba za M pesa, Tigo pesa ,Airtrl money ili tuwachangie. Pesa zote akabidhiwe mwekiti Mbowe azitunze maisha yasonge mbele.