Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Hawa wameamka wanajitambua wao ni nani na CCM ni nini? Wnajua kinachoendelea na pia wanajua, kujua tu kinachoendelea si hoja, hoja ni kujua namna ya kukabiriana na kinachoendelea.
Hawa wanasema CCM wezi na wababe kwa hiyo hawana imani na CCM. Kundi hili la kusema CCM wezi ni kundi ambalo lina watu wengi ambao hawaendi kupiga kula kwa sababu wanajua CCM watatumia vyombo vya DOLA kama POLISI UWT na JWTZ kupiga mkwara na hata kuua ili waibe wadanganyena kushinda.
Kundi linalosema CCM ni wezi linakua kwa kasi sana na ndugu zangu wa CCM wanapenda sana kukua kwake. Hata hivyo kundi hili ni bomu la kuleta kilio kwa CCM kwa sababu siku ukiona kundi hili,ghafla, limeacha kunennepa linakonda! Mwisho wa mwisho wa CCM utatimia papo hapo.
Wote tunatakiwa tufungue macho tuone kitu halisi kinachoendelea kwa wakati huu.
Mambo ya ushindi kwa kishindo yatasemwa tu huko vyumbani na vimada wao wakiwa wamepakazwa kizuzuzuzu.
Hawa wanasema CCM wezi na wababe kwa hiyo hawana imani na CCM. Kundi hili la kusema CCM wezi ni kundi ambalo lina watu wengi ambao hawaendi kupiga kula kwa sababu wanajua CCM watatumia vyombo vya DOLA kama POLISI UWT na JWTZ kupiga mkwara na hata kuua ili waibe wadanganyena kushinda.
Kundi linalosema CCM ni wezi linakua kwa kasi sana na ndugu zangu wa CCM wanapenda sana kukua kwake. Hata hivyo kundi hili ni bomu la kuleta kilio kwa CCM kwa sababu siku ukiona kundi hili,ghafla, limeacha kunennepa linakonda! Mwisho wa mwisho wa CCM utatimia papo hapo.
Wote tunatakiwa tufungue macho tuone kitu halisi kinachoendelea kwa wakati huu.
Mambo ya ushindi kwa kishindo yatasemwa tu huko vyumbani na vimada wao wakiwa wamepakazwa kizuzuzuzu.
pia kuna kuna kundi linaloona upinzani haujasema kitu wao watafanyaje, kusema tu ccm wezi haitoshi!