Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,389
MM Kwa muono wetu wa Kichama chetu cha Mafisadi ,hata wapiga kura wakiwa 35% bado tunajiona tunapendwa sana tu,na tunauhakika wa kuongoza miaka mingine 100.Lakini ukumbuke piahata hawa 75% au 65% ujue tumelazimishwa,tumewekewa mizengwe mingi,vitisho nk nk.
Hapo ukiondoa siye wenye uwoga kwa kweli Chama chetu hiki pendwa nina uhakika kwa sasa trend imeshuka kufikia 50% kama siyo 35%
Hapo ukiondoa siye wenye uwoga kwa kweli Chama chetu hiki pendwa nina uhakika kwa sasa trend imeshuka kufikia 50% kama siyo 35%