Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,140
- 88,809
Sina hamu na CRDB yaani nawachukiaHujui na ww ulikopaga mkuu, mpe chungu na tamu mdau aelewe somo 😀
Sina hamu na CRDB yaani nawachukiaHujui na ww ulikopaga mkuu, mpe chungu na tamu mdau aelewe somo 😀
Tembelea tako mwanawane upate kuwala waremboNina wazo la kununua gari ndogo ya kutembelea.Nataka kukopa benki ili nipate fedha za kununua gari hiyo.Natakiwa nikope kama milioni 22 .Hili wazo la kukopa fedha ili ninue gari toka japani mnalionaje ni zuri au baya.Mshahara wangu ni kama laki 600000 kwa mwezi
Poli gani tena hiloIla waajiriwa mnateseka sana , yani laki 6 unaipambania mwezi.mzima
Mzee njoo chaka , porini tulime
Njoo Iringa, tulime kitunguu na nyanyaPoli gani tena hilo
Ah iringa tatizo mie na baridi hatuendani bwana kibamia changu kitamezwa na mbupuzNjoo Iringa, tulime kitunguu na nyanya
Njoo wewe.. huwezi kufaAh iringa tatizo mie na baridi hatuendani bwana kibamia changu kitamezwa na mbupuz
Mkuu samahani kama nitakosea umesema gari jipya toka japan kwa maana 0KM au used but New toka japanNina famili jumla tuko watano.Kwa kiasi hicho cha pesa itanibidi nikope kwa muda wa miaka 9.Najua ni muda mrefu nawafaidisha benki lakini sina namna.Moyo unataka gari mpya toka Japani.Alphard,Wishi au yoyote yenye siti saba au nane
Hapo sawa si nije na million ngapiNjoo wewe.. huwezi kufa
Nitakupa dem , awe anakupa joto mida ya jion na asubuhi
Kwann kiongoz 😆😆Sina hamu na CRDB yaani nawachukia
Hongera kwa kuwa na sifa ya kukopesheka, huwa nashangaa sana Watumishi wanoaogopa kukopa...utapataje maendeleo usipokopa?Nina wazo la kununua gari ndogo ya kutembelea.Nataka kukopa benki ili nipate fedha za kununua gari hiyo.Natakiwa nikope kama milioni 22 .Hili wazo la kukopa fedha ili ninue gari toka japani mnalionaje ni zuri au baya.Mshahara wangu ni kama laki 600000 kwa mwezi
UsedMkuu samahani kama nitakosea umesema gari jipya toka japan kwa maana 0KM au used but New toka japan
Take homeHiyo laki 6 ni take home au hapo bado hujakatwa?
Jan japani wananafuu ya bei?Kwa maelezo ya mtoa mada ana uhitaji wa gari chukua huo mkopo alphard kwenye showroom ya jan japan unapata chini ya million 20 hata toyota wish pia cha kufanya inayobaki fungua hata duka la mangi ili kuhudumia gari isiwe mzigo
Hujakosea.Ukifikiri sana faida wanayopata benki huwezi kukopa lakini mill 20 au zaidi nani atakupa bure kwa mkupuo?Siku zote benki wako kwa ajili ya kutengeneza faidaUkikopa 22m watakupa 20m then 2m watakata kwa ajili ya processing etc
Baada ya apo watakukata kila mwezi almost 360k, kwa miaka tisa utalipa kama milion 42 hivi.
So ni kama unawalipa mara mbili ya hela uliokopa.
Mimi sipo kwa ajili ya kukushauri ukope au usikope, me nakuelezea tu pesa utakayowalipa in case kama ulikua hujui namna wanavo calculate.
Maamuzi ni yako
Asante
chukua hela, kuna mwamba alikufa halafu salary slip yake kaina kirusi wakati wengine salary slip ni mkeka treni benki zimejaa cha msingi achana na mambo za top upTake home