Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Wadau mambo Vipi mko poa? Nina wazo ila sina mtaji wa kuanzia nikipata wa kunishika mkono ntashukuru.
Ok. Plan yangu ipo hivi wazo langu ni kuwa nikiwa na kama sh 50,000 hizo zinatosha kabisa naenda kwenye duka la jumla linalouza nguo, za kiume/ kike za jumla mi plan yangu ni kuchukua zile nguo za ndani za kiume (boxer) dozen zipo tatu ndani ambayo kwa moja wao wanauza 3000 na kwa bei ya jumla unachukua kwa 9000
Ntachukua ntakazoona zinazonifaa harafu narudi mtaani kuwauzia wana kwa bei ya 5000 kila boxer moja mtaji ukikuwa naongeza na za kike kidogo ntazoona wadada watapenda.
Kwa mwenye mawazo anaweza akaongezea hapo.
Ok. Plan yangu ipo hivi wazo langu ni kuwa nikiwa na kama sh 50,000 hizo zinatosha kabisa naenda kwenye duka la jumla linalouza nguo, za kiume/ kike za jumla mi plan yangu ni kuchukua zile nguo za ndani za kiume (boxer) dozen zipo tatu ndani ambayo kwa moja wao wanauza 3000 na kwa bei ya jumla unachukua kwa 9000
Ntachukua ntakazoona zinazonifaa harafu narudi mtaani kuwauzia wana kwa bei ya 5000 kila boxer moja mtaji ukikuwa naongeza na za kike kidogo ntazoona wadada watapenda.
Kwa mwenye mawazo anaweza akaongezea hapo.