Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,716
- 36,187
Hello men and women of God!
Nimekaa hapa nimewaza na kugundua kuwa hizi rasilimali za asili kama madini, wanyama na rasilimali zingine zote za asili hapa Afrika ni zao Wazungu.
Sisi tulipewa tuzilinde tu kama vile mtu anayejenga nyumba Chanika na kumwambia mtu kaa usihofu lima mboga mboga ila siku nikihitaji nyumba yangu takuambia.
Mtu akisema hiki ni kitu changu maana yake pia anakifahamu vyema na anajua kukitumia.
Waafrika hawajui kutumia rasilimali zilizopo Afrika, hii maana yake ni kwamba rasilimali hizi haziwahusu ni za mzungu.
Nimekaa hapa nimewaza na kugundua kuwa hizi rasilimali za asili kama madini, wanyama na rasilimali zingine zote za asili hapa Afrika ni zao Wazungu.
Sisi tulipewa tuzilinde tu kama vile mtu anayejenga nyumba Chanika na kumwambia mtu kaa usihofu lima mboga mboga ila siku nikihitaji nyumba yangu takuambia.
Mtu akisema hiki ni kitu changu maana yake pia anakifahamu vyema na anajua kukitumia.
Waafrika hawajui kutumia rasilimali zilizopo Afrika, hii maana yake ni kwamba rasilimali hizi haziwahusu ni za mzungu.