Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,528
- 103,055
Kila mtu atakufa kwa wakati wake, uombewe usiombewe utakufa tuuTuzidi kumuombea Sana, Mhe. Majaliwa
Kila mtu atakufa kwa wakati wake, uombewe usiombewe utakufa tuuTuzidi kumuombea Sana, Mhe. Majaliwa
Upo sahihiKwa kawaida mtu anayejiona na kujiita ana akili ndio huwa oppisite
Yani kitendo tu cha kujiona una akili kuliko wengine inamaanisha the opposite
Weka humu hii comment yako 🗑️Niliona unabii kwenye channel ya Haleluyah TV kuhusiana na vifo vya wabunge wa chama tawala.
Kina bagua mkuu, angalia ndugu zetu wa 29 October kilivyo wafanya ? ndio utaona ubaguzi wa kifo katika styleIla kifo hakibagui 🙌🏾
Lakini labda zitakuwa false report..Kwani kuna shida? Si amekufa basi!
Kifo hakibagui mkuu anayetamba na asiyetamba wote wanaendaKina bagua mkuu, angalia ndugu zetu wa 29 October kilivyo wafanya ? ndio utaona ubaguzi wa kifo katika style
huo ndio tunaita ubaguzi, yani mateso kabla pumzi haijakata.Kifo hakibagui mkuu anayetamba na asiyetamba wote wanaenda
Labda style ya kifo ndiyo hubagua
Hapana ni kweli...Lakini labda zitakuwa false report..
Kama ni kweli apumzike kwa amaniHapana ni kweli...
Unataka uone nn ili ujue n kweli?Lakini labda zitakuwa false report..
Udini.Wakristo wenye ushawish utamazlizwa na Wana mtandao
haya mauaji hayataisha mpaka ile list ikamlishwe
na wakrsto walio serikalni Wala hawajashtuka kiuwa wanawindwa