Waziri wa Nishati, January Makamba afanya kikao na mabalozi wa Norway, Sweden na Saudi Arabia

Cannabis

JF-Expert Member
Jan 20, 2014
8,938
25,282
Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba amefanya kikao na mabalozi wa nchi za Norway, Sweden na Saudi Arabia nchini Tanzania. Katika kikao hicho amezishukuru nchi hizo kwa mchango mkubwa wanaoipatia Tanzania katika kuendeleza sekta ya nishati.

Waziri Makamba amesema nchi hizo zimeendelea kutoa ushirikiano kwa Tanzania kwa kufadhili miradi mbalimbali katika sekta na kuongeza kuwa Serikali itaendelea kunufaika na fursa mbalimbali zinazotelewa na nchi hizo kwakuwa zipo tayari wakati wowote kufanya kazi na Tanzania.

20211118_112143.jpg
20211118_112140.jpg
20211118_112137.jpg
 
Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba amefanya kikao na mabalozi wa nchi za Norway, Sweden na Saudi Arabia nchini Tanzania. Katika kikao hicho amezishukuru nchi hizo kwa mchango mkubwa wanaoipatia Tanzania katika kuendeleza sekta ya nishati.

Waziri Makamba amesema nchi hizo zimeendelea kutoa ushirikiano kwa Tanzania kwa kufadhili miradi mbalimbali katika sekta na kuongeza kuwa Serikali itaendelea kunufaika na fursa mbalimbali zinazotelewa na nchi hizo kwakuwa zipo tayari wakati wowote kufanya kazi na Tanzania.

View attachment 2015132View attachment 2015133View attachment 2015134
Huyu siku za usoni namuona akiwa kavaa nguo za wafungwa kama wakina Yona na Mramba.
 
Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba amefanya kikao na mabalozi wa nchi za Norway, Sweden na Saudi Arabia nchini Tanzania. Katika kikao hicho amezishukuru nchi hizo kwa mchango mkubwa wanaoipatia Tanzania katika kuendeleza sekta ya nishati.

Waziri Makamba amesema nchi hizo zimeendelea kutoa ushirikiano kwa Tanzania kwa kufadhili miradi mbalimbali katika sekta na kuongeza kuwa Serikali itaendelea kunufaika na fursa mbalimbali zinazotelewa na nchi hizo kwakuwa zipo tayari wakati wowote kufanya kazi na Tanzania.

View attachment 2015132View attachment 2015133View attachment 2015134
Makamba wizara moja imekushinda, sasa unataka uraisi. Utawezaje mudu wizara zote?
 
Back
Top Bottom