Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari: Bei elekezi ya Data itaanzia Shs 2-9 kwa MB 1 kuanzia Aprili 02, 2021

Duh wakiwabana sana wakashusha bei ila speed ya Kinyonga then what ?

Hawa jamaa si wana kampuni lao TTCL kwanini wasishushe huko ile kuleta ushindani ? Ofcourse wanaweza wakashusha to minimum (ila sio kushusha bei tu bali hata quality)
 
Unajua gharama ya mwanzo kama hujaweka kifurushi ilikuwaje? Kaongelea ubadilishaji holela wa gharama za vifurushi, aidha amekwepa hoja ya msingi ya upangaji wa gharama za vifurushi ama chanzo ulipotoa taarifa wamechagua kuto-cover upande huo
Ni kweli ,Tigo sasahivi unapata GB 9 kwa elfu 20000
 
Nenda kwenye page ya clouds media ya twitter kuna video katamka kabisa hizo figure tena kwa kurudia rudia!
Hizo
IMG_20210308_231343.jpg
 
Airtel MB ni shs 5, tunachoambiwa hapo hatuhitaji kulalamika wako within range.

Je, wamejipanga vipi, endapo mimi simpendi NDUGULILE naamua kutuma namba yake 15040, aonekane tapeli, wakati si kweli?? Kuna hatua zipi stahiki zitachukuliwa kwa wale watakaotumia vibaya hiyo namba??

Everyday is Saturday...............................:cool:
Kama umenitumia ile mimeseji ya mjukuu wangu mbona kimya toka nimekutumia ile ndangu ya kupata utajiri?? Sasa nai forward hiyo msg yako kwenda TCRA na pia naweka namba yako iliyokuja kwangu. Wakifuatilia huko wataona kweli ulinutumia hiyo msg so wanakudaka bila kuonewa hapo.
 
Mhh kazi ipo hao hawapo kwa ajili ya watumiaji wapo kwa ajili ya mapato ndio maana wamepiga hesabu wameona mzigo apewe mlaji...
 
Waziri analeta matumaini hewa, vifurushi bado ghali sana.
Bei ipungue!

Na haya mabadiriko yatungiwe sheria ili tuweze kuyashitaki makampuni ya simu yakituibia

Pia hajazungumzia tabia ya makampuni ya simu kukaa na kupanga bei kwa paoja (Kama cartel zifanyavyo) na hivyo kuwakosesha wananchi faida ya uwepo wa ushindani katika soko
 
Waziri hapa umezuga tu....
Kilio cha watanzania wengi ni ku expire kwa kifurushi na sio bei.
Inakuwaje kifursh ninunue mwwnyewe afu baada ya 24hrs mkiondoe? Kwan nin mnipangie mda wa kukitumia? Mbaya Zaid hamujaangakia mambo ya dharula... Eg mtandao hakuna but hamjali
 
Eti kikikarbia ku expire nunua kingine.... Kwa nn ki expire? Hapa ndo peny Tatizo badala ya kilitatua umelipa ka rangi
 
Back
Top Bottom