Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
- Thread starter
- #81
Waziri amesema ni bando,angalia video iliyopo kwenye uziMtoa mada kachanganya,hajui kuwa kabla ya mabadiliko hayo mb moja ilikuwa na wastani wa TSH 124
Pia hapo kwenye sh 2_9 Ni kwa mtu ambaye anatumia salio la kawaida ambalo ni non bundle