Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amwambia Antony Blinken kuwa Afrika haitaki kulazimishwa na Marekani kuzichukia Urusi na China

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Dec 27, 2019
2,921
15,613
Waziri wa mambo ya nje wa South Afrika kamchana Blinken kuwa South Afrika na Afrika kwa ujumla hawataki siasa za kipumb2vu za Marekani za kulazimisha kuchaguliana maadui au marafiki.

Maneno hayo yamejiri baada ya Biden wa Marekani kumtuma waziri wake wa mambo ya nje Bwana Blinken aende South Afrika, DR Congo na Rwanda akazipigie magoti nchi hizo za Afrika na kuziomba ziiunge mkono Marekani na kuwa upande wa Marekani ktk suala la vita vya Ukraine. Sanjari na hilo ni pamoja na kuziomba nchi hizo za Afrika zijiweke mbali na Urusi na China.

Waziri wa mambo ya nje wa South Afrika Bi Naledi Pandor anasema pamoja na kuwa Blinken alijifanya kudai kuwa Marekani haiilazimishi Afrika kuchagua upande ktk mizozo inayoihusisha Marekani, Blinken alishindwa kuficha ukweli juu ya mswaada uliopitishwa Marekani wa kuitaka serikali ya Marekani kuziwajibisha nchi za Afrika zilizokataa kupiga kura Umoja wa Mataifa ya kuilaani Urusi. Bi Naledi akampa maneno ya shombo Biden kupitia waziri wake (Blinken) kuwa South Afrika yaamini ktk UHURU, na uhuru wenyewe ni uhuru wa kila mtu kila nchi. Huwezi kusema kwa kuwa Afrika imeamua kufanya hivi (haiiungi mkono Marekani) basi lazima Afrika iadhibiwe na Marekani!

Mwana mama huyo machachari akamuonya Blinken kwa kumweleza kuwa Afrika haitaki siasa za kishamba za Marekani za kuitaka Afrika kuzitenga Urusi na China.
=======

SmartSelect_20220809-065124_Chrome.jpg

Screenshot_20220809-065654_Chrome.jpg
Screenshot_20220809-065922_Chrome.jpg
 
Hao Ni Wanasiasa TU ndugu yangu. Linapokuja suala la Uchumi,Afrika Kusini haiwezi kuwa upande wa Urusi Wala Uchina. Siku Marekani ikisema imwage mboga kwa kuiwekea vikwazo vikali vya Kiuchumi Afrika Kusini,Uchumi wa Zimbabwe utakuwa Ni Zimbabwe Part 2. Mgabe alishupaza Shingo SI Urusi Wala Uchina aliyeuokoa Uchumi wa Zimbabwe,Uchumi ulisambaratika kabisa. Je,Afrika Kusini iko tayari kuwa Kama Zimbabwe Kiuchumi?

Inawezekana kabisa Marekani imekosea kulazimisha Mataifa kuwa upande wake badala ya kujichagulia,lakini linapokuja suala la Msuli wa Kiuchumi,Hakuna hata nchi moja itachagua upande wa Urusi au Uchina.
 
Huyu mpuuzi, viwanda vyote (majority anyway)vya SA ni mali ya wamarekani, hajui kuwa wakijitoa atakosa hata huo mshahara. Mpuuzi tu ndio uafrika wenyewe. Ukitaka kujitutumua dunia ya leo jitosheleze. Anza kwako SA, then you will win the war vs USA
 
Huyu mpuuzi, viwanda vyote (majority anyway)vya SA ni mali ya wamarekani, hajui kuwa wakijitoa atakosa hata huo mshahara. Mpuuzi tu ndio uafrika wenyewe...... Ukitaka kujitutumua dunia ya leo jitosheleze. Anza kwako SA, then you will win the war vs USA
Upo zako kijijini Tandahimba, kichwani mwako umebeba na waamini kuwa nafasi yako pekee ni utumwa na kutawaliwa kikoloni (kama ulivyoonesha ktk maelezo yako), lakini wajitia wajua zaidi maswala ya uchumi wa South Afrika kuliko serikali yenyewe ya South Afrika!
 
Upo zako kijijini Tandahimba, kichwani mwako umebeba na waamini kuwa nafasi yako pekee ni utumwa na kutawaliwa kikoloni (kama ulivyoonesha ktk maelezo yako), lakini wajitia wajua zaidi maswala ya uchumi wa South Afrika kuliko serikali yenyewe ya South Afrika!
hata wewe hapo ulipo si ajabu unafadhiliwa ARV zako/rafiki/ndugu na USA! Covid-19 vaccine ni hao hao. Unaleta za kuleta hapa. Hiyo barabara ya lami ni USA ...sema tena!

Si ajabu na mshahara wako unatoka USA (kama unafanya kazi ya kuajiliwa anyway!)
 
hata wewe hapo ulipo si ajabu unafadhiliwa ARV zako/rafiki/ndugu na USA! Covid-19 vaccine ni hao hao. Unaleta za kuleta hapa. Hiyo barabara ya lami ni USA ...sema tena!
Si ajabu na mshahara wako unatoka USA (kama unafanya kazi ya kuajiliwa anyway!)
Upo zako kijijini Tandahimba, kichwani mwako umebeba na waamini kuwa nafasi yako pekee ni utumwa na kutawaliwa kikoloni (kama ulivyoonesha ktk maelezo yako), lakini wajitia wajua zaidi maswala ya uchumi wa South Afrika kuliko serikali yenyewe ya South Afrika!
 
Waziri wa mambo ya nje wa South Afrika kamchana Blinken kuwa South Afrika na Afrika kwa ujumla hawataki siasa za kipumb2vu za Marekani za kulazimisha kuchaguliana maadui au marafiki.

Maneno hayo yamejiri baada ya Biden wa Marekani kumtuma waziri wake wa mambo ya nje Bwana Blinken aende South Afrika, DR Congo na Rwanda akazipigie magoti nchi hizo za Afrika na kuziomba ziiunge mkono Marekani na kuwa upande wa Marekani ktk suala la vita vya Ukraine. Sanjari na hilo ni pamoja na kuziomba nchi hizo za Afrika zijiweke mbali na Urusi na China.

Waziri wa mambo ya nje wa South Afrika Bi Naledi Pandor anasema pamoja na kuwa Blinken alijifanya kudai kuwa Marekani haiilazimishi Afrika kuchagua upande ktk mizozo inayoihusisha Marekani, Blinken alishindwa kuficha ukweli juu ya mswaada uliopitishwa Marekani wa kuitaka serikali ya Marekani kuziwajibisha nchi za Afrika zilizokataa kupiga kura Umoja wa Mataifa ya kuilaani Urusi. Bi Naledi akampa maneno ya shombo Biden kupitia waziri wake (Blinken) kuwa South Afrika yaamini ktk UHURU, na uhuru wenyewe ni uhuru wa kila mtu kila nchi. Huwezi kusema kwa kuwa Afrika imeamua kufanya hivi (haiiungi mkono Marekani) basi lazima Afrika iadhibiwe na Marekani!

Mwana mama huyo machachari akamuonya Blinken kwa kumweleza kuwa Afrika haitaki siasa za kishamba za Marekani za kuitaka Afrika kuzitenga Urusi na China.
=======

View attachment 2318858
View attachment 2318859
Sikirimimimasikini, hivi unaona ninacho kiona mimi??Mkuu,kwa masikitiko makubwa naona kumbe Afrika bado saaana - ndio maana watu wa magharibi utuchukulia kwamba majority ya watu weusi tuko "WIRED weirdly by our MAKER" ndio maana wazungu wanakuwa na ujeuri/ubavu wa kuwaburuza puta baadhi ya Viongozi wa Africa kama gari bovu.

Mkuu jaribu kupitia tena majibu jibu ya kushangaza yanayo semwa na baadhi ya JF members - just imagine wana sababu gani za msingi kumjia juu waziri wa Afrika kusini, wanambatiza majina ya kila sampuri, kumbeza beza - kisa!! wanakasirika kutokana mama wa watu kumwambia ukweli waziri wa Merikani, ambay uchukuliwa na baadhi ya Wafrika kana kwamba ni Mungu wao mdogo wa Dunia ambaye hapashwi kujaribiwa hata siku moja, akisha sema kitu/toa amri Dunia nzima inapaswa kumsikiliza na kuufyata, hakuna kuhoji swali!!

Kuna wakati mwingine binafsi ujiuliza maswali mengi mpaka nakosa majibu, hivi kwa mfano: kama Rais J. K. Nyerere angekuwa na reasoning capacities au analytical minds ninazo zishuhudia hapa, hivi Tanzania ingepata uhuru kweli au Mwl. Nyerere angeogopa wazungu na kukimbilia kumuona Rais John F.Kennedy na kumwambia, eeh bwana eeh, Waafrika uwezo wa kujitawala hatuna kabisa mpaka siku ya kihama,sasa kwa kuwa Mungu aliwapendelea sana kwa kuwapa akili na uwezo wa Kimungu Mungu wazungu hasa Waamerika njooni mkatutawale,bebeni our vast natural resources maana hatuna akili ya kuzitumia kwa faida yetu, kauzeni mbuga zote za wanyama sisi tubaki tu wapagazi na slaves.

Ukiangalia kijuu juu si rahisi kuligunduwa hilo, lakini ukilichunguza kiundani kutumia saikolojia unaona wazi wazi kwamba baadhi ya Watanzania wenzetu ni victim wa latent slavery mentality - siwasemi vibaya lakini kwa bahati mbaya sana ukweli ndio huo - sikirimimimasikini, kwa hiyo husishangae Mujibu jibu au hoja za wenzetu ambazo zinashangaza sana sana - CHEERS.
 
Waziri wa mambo ya nje wa South Afrika kamchana Blinken kuwa South Afrika na Afrika kwa ujumla hawataki siasa za kipumb2vu za Marekani za kulazimisha kuchaguliana maadui au marafiki.

Maneno hayo yamejiri baada ya Biden wa Marekani kumtuma waziri wake wa mambo ya nje Bwana Blinken aende South Afrika, DR Congo na Rwanda akazipigie magoti nchi hizo za Afrika na kuziomba ziiunge mkono Marekani na kuwa upande wa Marekani ktk suala la vita vya Ukraine. Sanjari na hilo ni pamoja na kuziomba nchi hizo za Afrika zijiweke mbali na Urusi na China.

Waziri wa mambo ya nje wa South Afrika Bi Naledi Pandor anasema pamoja na kuwa Blinken alijifanya kudai kuwa Marekani haiilazimishi Afrika kuchagua upande ktk mizozo inayoihusisha Marekani, Blinken alishindwa kuficha ukweli juu ya mswaada uliopitishwa Marekani wa kuitaka serikali ya Marekani kuziwajibisha nchi za Afrika zilizokataa kupiga kura Umoja wa Mataifa ya kuilaani Urusi. Bi Naledi akampa maneno ya shombo Biden kupitia waziri wake (Blinken) kuwa South Afrika yaamini ktk UHURU, na uhuru wenyewe ni uhuru wa kila mtu kila nchi. Huwezi kusema kwa kuwa Afrika imeamua kufanya hivi (haiiungi mkono Marekani) basi lazima Afrika iadhibiwe na Marekani!

Mwana mama huyo machachari akamuonya Blinken kwa kumweleza kuwa Afrika haitaki siasa za kishamba za Marekani za kuitaka Afrika kuzitenga Urusi na China.
=======

View attachment 2318858
View attachment 2318859View attachment 2318860
Safi Africa hatufagili Uchoko wa Biden na wafuasi wake waliopo humu
 
Huyu mpuuzi, viwanda vyote (majority anyway)vya SA ni mali ya wamarekani, hajui kuwa wakijitoa atakosa hata huo mshahara. Mpuuzi tu ndio uafrika wenyewe. Ukitaka kujitutumua dunia ya leo jitosheleze. Anza kwako SA, then you will win the war vs USA
Africa kusini sio wanafiki,, mandela alikua anamchana Bush live,,
 
hata wewe hapo ulipo si ajabu unafadhiliwa ARV zako/rafiki/ndugu na USA! Covid-19 vaccine ni hao hao. Unaleta za kuleta hapa. Hiyo barabara ya lami ni USA ...sema tena!

Si ajabu na mshahara wako unatoka USA (kama unafanya kazi ya kuajiliwa anyway!)
Barabara mchina ndo mjengaji namba moja duniani
 
Barabara mchina ndo mjengaji namba moja duniani
Wachina Ni vijakazi (In JPM's Voice)

Wazungu wanatoa pesa za maendeleo kwa nchi za kiafrika,Nchi za Kiafrika zinatumia pesa Hizo kuwapa ajira wachina Jobless Kujenga Miundombinu.

Mifano:

1.Ubungo Fly Over ilijengwa na Wachina baada ya Japan kutoa msaada wa $ 165M na Norway kutoa $ 40M kwa Serikali ya Tanzania. Kwamaana nyingine,Aliyetoa fedha (Norway na Japan) ndio wajenzi wa Ubungo FlyOver na Wala sio wachina. Hauwezi kumshukuru fundi Kujenga Nyumba yako Ambapo ummemlipa fedha zote. Badala Yake yeye ndio ashukuru kwasababu ulimpa ajira.

2. Kibaha-Mbezi Highway inajengwa na Wachina baada ya Bank ya Dunia kutoa Soft loan ya $ 280M kwa Serikali ya Tanzania.

3.Salender Bridge inajengwa na Wachina baada ya Marekani kutoa fedha za MCC $ 450M kwa Serikali ya Tanzania.

Mifano Ni mingi Sana. Kiufupi,bila misaada ya Wazungu,Tanzania ingelikuwa na barabara za lami zisizozidi 5 mpaka Sasa. Lakini kwa msaada wa Wazungu,Tanzania inazaidi ya barabara 800 zenye urefu wa 100km na zaidi.

Upende usipende,Mabeberu hawakwepeki,Ni Wadau wa Maendeleo in CCM's Voice.
 
South Africa yenyewe imeshajiweka upande wa BRICS kitambo sana wana urafiki tena zaidi ya urafiki na Russia na China
Hao BRICS ni kama jina tu,India na China wana mgogoro wa mpaka na India kila kukicha inazuia makampuni ya China kuwekeza nchini mwao.
ZTE na Huawei zimepigwa ban kusambaza 5G India.
 
Marekani sahv ni mbwa koko hang’ati kila anakokwenda anapewa kigingi, itafika stage hadi Tanzania tutavimbaa, Marekani ushawishi wake unaporomoka kwa kasi na anajua sahv hakubaliki
 
hata wewe hapo ulipo si ajabu unafadhiliwa ARV zako/rafiki/ndugu na USA! Covid-19 vaccine ni hao hao. Unaleta za kuleta hapa. Hiyo barabara ya lami ni USA ...sema tena!

Si ajabu na mshahara wako unatoka USA (kama unafanya kazi ya kuajiliwa anyway!)

Mwanaume kama wewe upo ladhi upakwe wese kisa misaada. Taifa bado linavijana wa hovyo sana. Una umri gani kwanza tuanzie hapa.
 
Hao Ni Wanasiasa TU ndugu yangu. Linapokuja suala la Uchumi,Afrika Kusini haiwezi kuwa upande wa Urusi Wala Uchina. Siku Marekani ikisema imwage mboga kwa kuiwekea vikwazo vikali vya Kiuchumi Afrika Kusini,Uchumi wa Zimbabwe utakuwa Ni Zimbabwe Part 2. Mgabe alishupaza Shingo SI Urusi Wala Uchina aliyeuokoa Uchumi wa Zimbabwe,Uchumi ulisambaratika kabisa. Je,Afrika Kusini iko tayari kuwa Kama Zimbabwe Kiuchumi?

Inawezekana kabisa Marekani imekosea kulazimisha Mataifa kuwa upande wake badala ya kujichagulia,lakini linapokuja suala la Msuli wa Kiuchumi,Hakuna hata nchi moja itachagua upande wa Urusi au Uchina.
Pole waziri wamambo ya nje wa SA wahapa jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom