ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
Sakata la Izrael kushitakiwa na Afrika Kusini kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Binadamu limechukua sura Mpya baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Madam G.N.M Pandor kutangaza kwenye vyombo vya habari kwamba amepokea Kauli za vitisho kutoka Kwa maofisa wa usalama wa Israel.
Israel Imetoa taarifa ya kulaani Kauli hiyo ya Waziri huyo na kukana madai yake huku ikimshutumu vikali kwamba anafifisha Haki ya Israel ya kulinda usalama wake.
View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1755917002940498363?t=faRxyF1wI1bT-lHtLtBYRg&s=19
My Take
Izrael ni nani Hadi waweze kutupangia washirika?
Naunga mkono Afrika Kusini.
View: https://twitter.com/GUnderground_TV/status/1755896371440165274?t=7dlT-O-HLljzNX6sYug7xg&s=19
Israel Imetoa taarifa ya kulaani Kauli hiyo ya Waziri huyo na kukana madai yake huku ikimshutumu vikali kwamba anafifisha Haki ya Israel ya kulinda usalama wake.
View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1755917002940498363?t=faRxyF1wI1bT-lHtLtBYRg&s=19
My Take
Izrael ni nani Hadi waweze kutupangia washirika?
Naunga mkono Afrika Kusini.
View: https://twitter.com/GUnderground_TV/status/1755896371440165274?t=7dlT-O-HLljzNX6sYug7xg&s=19