Unaweza kututajia kabila ya kila mmoja hapo huu kuthibitisha kauli yako!?
Zilongwa mbali zitendwa mbaliProf. Bee ameteuliwa Bodi mbili. Kofia mbili bado zinaruhusiwa?
Huyu waziri hajajituma kutafuta watu makini ndio maana ameishia kumrudia huyo aliye mbahatishaProf. Bee ameteuliwa Bodi mbili. Kofia mbili bado zinaruhusiwa?
Wajumbe wengi hapa hamna kitu
Wewe huoni 98% ya wateule wanatoka kanda ya ziwa?Unaweza kututajia kabila ya kila mmoja hapo huu kuthibitisha kauli yako!?
Taja kabila la kila mmoja mmoja hapo uthibitishe kauli yako mbona mnakua wagumu kuelewa..!?Wewe huoni 98% ya wateule wanatoka kanda ya ziwa?