Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Jun 16, 2012 #41 yaani hili nalo ni boga lingine kama mkulo tu...mi alinichefua mapka nikazima tv
M Morinyo JF-Expert Member Aug 26, 2011 2,797 1,592 Jun 16, 2012 #42 Andrew Nyerere said: Hawezi kutamka ''marekebisho',anasema ''marekabisho'' Click to expand... Me nadhani tunahitaji zaidi utekelezaji kuliko utamkwaji wa maneno. Tusimpime kwa kushindwa kutamka baadhi ya maneno.
Andrew Nyerere said: Hawezi kutamka ''marekebisho',anasema ''marekabisho'' Click to expand... Me nadhani tunahitaji zaidi utekelezaji kuliko utamkwaji wa maneno. Tusimpime kwa kushindwa kutamka baadhi ya maneno.
B Bob G JF-Expert Member Oct 5, 2011 2,351 449 Jun 18, 2012 #45 Hapo bado hajaiba na kuhongwa na Mafisadi subiri another silly season uone, hata kile kiswahili cha kihehe hutakisikia tena
Hapo bado hajaiba na kuhongwa na Mafisadi subiri another silly season uone, hata kile kiswahili cha kihehe hutakisikia tena