kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nakiri kama nchi hii msomi wa ngazi ya PhD anaweza kufikiri kama darasa la saba, ni jambo la kusikitisha sana.
Mimi nisingeshindwa kusema naogeza tozo kwenye miamala, natoza kodi ya Nyumba kwenye luku, naongeza bei ya mafuta. Je, ijahitaji PhD kufikiri vitu hivyo?
Je, nini kinafanyika kwa wenzetu mfano Uganda hadi inatokea wafanyabiashara wote wa kanda ya ziwa wanaenda kuhemea Bidhaa Uganda? Wakiingia uganda ni uchumi kiasi gani wanaacha huko? Mimi nikiona hayo ndipo ninaweka heshima kwa wasomi waliodababisha hiyo halo ikatokea na si tozo sijui ya baiskeli, pikipiki na bajaji kwa vile unaziona ni nyingi.
Tunahitaji waziri wa fedha mbunifu sana ili kuwapunguzia wananchi maumivu na kuwadidimiza kwenye umaskini.
Mimi nisingeshindwa kusema naogeza tozo kwenye miamala, natoza kodi ya Nyumba kwenye luku, naongeza bei ya mafuta. Je, ijahitaji PhD kufikiri vitu hivyo?
Je, nini kinafanyika kwa wenzetu mfano Uganda hadi inatokea wafanyabiashara wote wa kanda ya ziwa wanaenda kuhemea Bidhaa Uganda? Wakiingia uganda ni uchumi kiasi gani wanaacha huko? Mimi nikiona hayo ndipo ninaweka heshima kwa wasomi waliodababisha hiyo halo ikatokea na si tozo sijui ya baiskeli, pikipiki na bajaji kwa vile unaziona ni nyingi.
Tunahitaji waziri wa fedha mbunifu sana ili kuwapunguzia wananchi maumivu na kuwadidimiza kwenye umaskini.