Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Bima ya afya.
Wakati hili tunalisubiria, maiti anayedaiwa tuchukulie ni hasara kama vile nyanya zinaweza oza kabla hazijanunuliwa.
Kwani idadi ya wanoenda hospitali kutibiwa na kupona ni kubwa kuliko idadi ya wanaofariki.
Tusing'ang'anie sana hii hela anayodaiwa marehemu.
Biashara yoyote ina faida na hasara.
Wakati hili tunalisubiria, maiti anayedaiwa tuchukulie ni hasara kama vile nyanya zinaweza oza kabla hazijanunuliwa.
Kwani idadi ya wanoenda hospitali kutibiwa na kupona ni kubwa kuliko idadi ya wanaofariki.
Tusing'ang'anie sana hii hela anayodaiwa marehemu.
Biashara yoyote ina faida na hasara.