Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,131
- 35,170
Kitakachofuata sasa.
1. Hospitali zitachelewesha kumpa mgonjwa huduma husika mpaka alipe kiasi fulani cha pesa kwanza kama dhamana.
2. Kuna baadhi ya huduma muhimu za gharama kubwa hospitali zitasita kumpa mgonjwa aliyezidiwa kwa hofu kuwa ikiwa atafariki hawataweza kulipwa.
3. Hospitali hazitapoteza muda kuzihifadhi vizuri maiti za watu maskini wenye kudaiwa pesa na hospitali.
1. Hospitali zitachelewesha kumpa mgonjwa huduma husika mpaka alipe kiasi fulani cha pesa kwanza kama dhamana.
2. Kuna baadhi ya huduma muhimu za gharama kubwa hospitali zitasita kumpa mgonjwa aliyezidiwa kwa hofu kuwa ikiwa atafariki hawataweza kulipwa.
3. Hospitali hazitapoteza muda kuzihifadhi vizuri maiti za watu maskini wenye kudaiwa pesa na hospitali.