GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
Kwanza hizo taarifa za idadi ya wafu na wenye corona zinasaidia nini?
Wagonjwa 20, kesho wagonjwa 50, kesho kutwa wagonjwa 100... SO WHAT?
Watu wameshaelekezwa kuchukua tahadhari. Hiyo inatosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wagonjwa 20, kesho wagonjwa 50, kesho kutwa wagonjwa 100... SO WHAT?
Watu wameshaelekezwa kuchukua tahadhari. Hiyo inatosha.
Sent using Jamii Forums mobile app