ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema serikali haijatoa taarifa za mwenendo wa ugonjwa wa Covid-19 nchini kwa wiki moja sasa kutokana na uwepo wa zoezi la uhakiki wa maabara ya taifa na uhakiki huo utakapokamilika, taarifa zitaendelea kutolewa.
AzamTV
Heee kumbe bongo raha sana
Sent using Jamii Forums iOS App