Waziri Sophia Simba aumbuka Channel 10!

Waziri Sophia Simba aumbuka Channel 10!

Glad

Member
Joined
Nov 29, 2010
Posts
25
Reaction score
1
Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amejikuta kwny wakati mgumu pale alipowalaumu vikali CHADEMA kwa kuendesha maandamano kanda ya ziwa na kusema kua huko ni kuiga Misri na Libya!! Mama huyo badala ya kuzungumzia kilichompeleka studio kuzungumzia Siku ya wanawake duniani yeye akaanza na kusema wanawake wasiende kwny maandamano ya CDM maana wao wana kazi nyingi za kufanya kuliko wanaume ambao hawana kazi ndio maana wanaenda kwny maandamano hayo!!! Ulipofika muda wa watazamaji kuchangia ndipo huyo mama alipoanza kushambuliwa na kila mchangiaji kwamba afute kauli zake za kwamba "wanaume hawana kazi ndio maana wengi wanaenda kwny maandamano hayo" na "kufananisha maandamano ya CHADEMA na yale ya nchini Misri au Libya" Ninachojiuliza hapa wana JF wenzangu hivi hawa viongozi wetu kwann wanakua mambumbumbu kiasi hiki na ufinyu wa uelewa? Kuhusisha maandamano ya CDM na yale ya Misri au Libya huu si ndio uchochezi wenyewe!!! Halafu napenda kuuliza wana JF wenzangu nini maana ya JINSIA?! Nawakilishaa.
 
Yani moja kati ya maamuma waliopo sisiem huyo mama ni namba moja akifuatiwa na makamba,tambwe hiza,jk,tyson endelezaaaaa................
 
Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amejikuta kwny wakati mgumu pale alipowalaumu vikali CHADEMA kwa kuendesha maandamano kanda ya ziwa na kusema kua huko ni kuiga Misri na Libya!! Mama huyo badala ya kuzungumzia kilichompeleka studio kuzungumzia Siku ya wanawake duniani yeye akaanza na kusema wanawake wasiende kwny maandamano ya CDM maana wao wana kazi nyingi za kufanya kuliko wanaume ambao hawana kazi ndio maana wanaenda kwny maandamano hayo!!! Ulipofika muda wa watazamaji kuchangia ndipo huyo mama alipoanza kushambuliwa na kila mchangiaji kwamba afute kauli zake za kwamba "wanaume hawana kazi ndio maana wengi wanaenda kwny maandamano hayo" na "kufananisha maandamano ya CHADEMA na yale ya nchini Misri au Libya" Ninachojiuliza hapa wana JF wenzangu hivi hawa viongozi wetu kwann wanakua mambumbumbu kiasi hiki na ufinyu wa uelewa? Kuhusisha maandamano ya CDM na yale ya Misri au Libya huu si ndio uchochezi wenyewe!!! Halafu napenda kuuliza wana JF wenzangu nini maana ya JINSIA?! Nawakilishaa.
Nadhani wametuma serikali nzima kuipiga vita CDM maana hata jana nilimwona Wassira nae anajiumauma TBC kuhusu CDM. Ukweli wanapigana na ukuta hawataweza.
 
sishangai Sophia kusema hili kwani alishawai kuwataka wanawake wawanyime unyumba waume zao kama watawaunga mkono wapinzani so sofia amaamin kwa nguvu ya ngono anaweza kumwendesha na kupata chochote kutoka kwa mwanaume.
Akili yake inawaza ngono tu na labda JK kampa hiyo WIZARA kama offa au aweke draft ya ngono kuzima harakati za ukombozi.
Ni wanawake wajinga tu kama yeye watakaomuelewa.

My take:WANAWAKE TUNATESEKA ZAIDI YA WANAUME NA HUU UGUMU WA MAISHA sasa sexy slave sofia anamaanisha nini?
 
Mama wa taarabu huwa simsikilizi, ndiyo njia pekee niliyoichagua ya kuepukana na BP.
 
Huyu msameheni si mnakumbuka mzee walecela aliwahi kumshauri apitie mirembe kucheki afya ya ubongo akagoma cha msingi ni wanawake tuandamane tumshinikize akapimwe afya ya ubongo
 
... Ninachojiuliza hapa wana JF wenzangu hivi hawa viongozi wetu kwann wanakua mambumbumbu kiasi hiki na ufinyu wa uelewa?...
Kuwa mbumbumbu ndiyo sifa ya kupata uongozi ktk serikali ya sasa!
 
Ni kichangia hoja hii lazima nitakamatwa so.... am cryiiiing.
 
SOPHIA Simba ni tahila muache alivyo. Alisema kama mme wako yupo CHADEMA mnyime unyumba sasa kila siku ananuka mdomo mbele ya watu.

Tutakupeleka kwa Mganga akutibu kama unaumwa chini.
 
Hivi ccm haina msemaji mbona kila mtu akipewa nafasi anaropoka tu, kweli wemechanganyikiwa!!!
 
mie alivyoanza kuongea kwenye baragumu nikahamisha siwezi kumsikiliza huyu mama hata kwa dawa mawazo yake ni ya ki ngono ngono
 
Nashangaa wanaomshangaa SS, kwani mlidhani amebadilika?
 
Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amejikuta kwny wakati mgumu pale alipowalaumu vikali CHADEMA kwa kuendesha maandamano kanda ya ziwa na kusema kua huko ni kuiga Misri na Libya!! Mama huyo badala ya kuzungumzia kilichompeleka studio kuzungumzia Siku ya wanawake duniani yeye akaanza na kusema wanawake wasiende kwny maandamano ya CDM maana wao wana kazi nyingi za kufanya kuliko wanaume ambao hawana kazi ndio maana wanaenda kwny maandamano hayo!!! Ulipofika muda wa watazamaji kuchangia ndipo huyo mama alipoanza kushambuliwa na kila mchangiaji kwamba afute kauli zake za kwamba "wanaume hawana kazi ndio maana wengi wanaenda kwny maandamano hayo" na "kufananisha maandamano ya CHADEMA na yale ya nchini Misri au Libya" Ninachojiuliza hapa wana JF wenzangu hivi hawa viongozi wetu kwann wanakua mambumbumbu kiasi hiki na ufinyu wa uelewa? Kuhusisha maandamano ya CDM na yale ya Misri au Libya huu si ndio uchochezi wenyewe!!! Halafu napenda kuuliza wana JF wenzangu nini maana ya JINSIA?! Nawakilishaa.

Mkuu hata mimi nimemuone asubuhi, huyu ni wa kumsamehe. Kuhusu hapo kwenye red ngoja nikupige shule kidogo.

JINSI(SEX) - Ni hali ya kuwa Mwanaume(ME) au Mwanamke(KE) - Biological difference

JINSIA (GENDER) - Ni mahusiano kati ya ME na KE hii sio biological, mahusiano ni man made . wanaweza kuyashep wanavyotaka

Asante ndugu, nadhani umeelewa, Sasa tueleze ulichotaka kusema baada ya kukupa hiyo maana.
 
Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amejikuta kwny wakati mgumu pale alipowalaumu vikali CHADEMA kwa kuendesha maandamano kanda ya ziwa na kusema kua huko ni kuiga Misri na Libya!! Mama huyo badala ya kuzungumzia kilichompeleka studio kuzungumzia Siku ya wanawake duniani yeye akaanza na kusema wanawake wasiende kwny maandamano ya CDM maana wao wana kazi nyingi za kufanya kuliko wanaume ambao hawana kazi ndio maana wanaenda kwny maandamano hayo!!! Ulipofika muda wa watazamaji kuchangia ndipo huyo mama alipoanza kushambuliwa na kila mchangiaji kwamba afute kauli zake za kwamba "wanaume hawana kazi ndio maana wengi wanaenda kwny maandamano hayo" na "kufananisha maandamano ya CHADEMA na yale ya nchini Misri au Libya" Ninachojiuliza hapa wana JF wenzangu hivi hawa viongozi wetu kwann wanakua mambumbumbu kiasi hiki na ufinyu wa uelewa? Kuhusisha maandamano ya CDM na yale ya Misri au Libya huu si ndio uchochezi wenyewe!!! Halafu napenda kuuliza wana JF wenzangu nini maana ya JINSIA?! Nawakilishaa.

Sitaki kumlaumu sana huyu mama nina wasiwasi sana na uwezo wake kichwani wakuwalaumu ni wanao mpa hizo fursa.
Haya ni baadhi ya mazao yanayotoka kichwani mwake.
1.Bungeni alilopoka hadharani kwamba haoni mwanaume kama lowasa.
2.Bungeni alishindwa kutoa kirefu cha SADC
 
Halafu napenda kuuliza wana JF wenzangu nini maana ya JINSIA?! Nawakilishaa.[/QUOTE]

INGIE KWENYE GOOGLE TAIPI NENO JINSIA BASI UTAPATA MAANA YAKE
 
Unajua kwa nini mawaziri wengi wa JK ni vituko? Hawateuliwi kwa uwezo wao wa kazi isipokuwa wanajipendekeza vipi kwa RA, wanachangia vipi fenda ktk kampeni za JK, ni maswahiba kiasi gani na wakuu wa Mtandao nk. Unakumbuka lile baraza la mawaziri sitini? Wizara ya Usalama wa Raia v. Mambo ya ndani? Basi inasemekana JK alipofika madarakani alidhani RA na EL watamwachia ajitawale akiwapa nafasi lakini haikuwa hivyo. Kwanza RA akasema hataki uwaziri ila akaleta majina ya watu wake kama kumi hivi, Mzee wa Monduli kama umjuavyo akaleta wake kama 33 hivi, bila kusahau wazee wa siasa kama kina King Gunge wa Ngombare asingeweza kuwatupa. Yeye mwenyewe JK akawa na watu wake. Pia usisahau mtazamo wa CC emu kuhusu uwakilishi kimikoa katika Baraza la Mawaziri. Hivyo kufikia mwisho unaajikuta una watu kama mia hivi? Huwezi kuamini kirahisi lakini hao sitini (60) walikuwa ndo kiwango cha chini zaidi kilichowezekana kwa wakati huo maana bado kuna wapambe wengi ambao bado hawakupata nafasi

Kwa hiyo usishangae kumkuta Mama yangu Simba siku zote kuwa mropokaji. Inawezekana yupo hapo kwa sababu alienda kwa RA kuomba uwaziri na RA akampa kimemo ampelekee JK "Apewe nafasi anayopenda. Ni mtu wetu wa karibu!" Kisha JK akainua simu kuripoti kwa bosi wake RA "Tayari Mkuu"

Hujaipata hiyo? Inasemekana tangu wanamtandao waanze kutafuta madaraka (miaka kama 18 hivi imepita) hakuna siku waliwahi kujadili watatatua vipi tatizo lolote kubwa (umeme, maji, barabara, kilimo duni nk.) hapa nchini. Mazungumzo yao mengi ilikuwa wapi watapata fedha na vipi watamwondoa nani katika mlinganyo nk. Inasemekana hata zile kashfa za Sumayi kuwa fisadi na pesa nyingi (Inawezekana ni kweli. Sipingani na hilo maana CCM sijui utamwamini nani wote hayohayo) ziliwekwa wazi ili Mkapa (fisadi mwingine lakini aliyemudu makashkashi) asipate nafasi ya kumwachia urais.
 
Nyamungo mbona swali lako limejibiwa hapo juu na Ta muganyizi??
Sophia limedoda limelala!!
 
Yani moja kati ya maamuma waliopo sisiem huyo mama ni namba moja akifuatiwa na makamba,tambwe hiza,jk,tyson endelezaaaaa................
carelessness.jpg
 
Mkuu nalkupata machungu yako lkn kwa case ya huyu mama Sophia wala usipoteze muda kumjadili maana ni muda mrefu tunajua ni MBUMBUMBU na mwenye kosa hapa ni rais wake maana ndo alimweka hapo kwa sababu wote ni wapenzi wa taarab, usipoteze muda mzee
 
Back
Top Bottom