Kama terrorism ni utalii ya nini wamshtaki?Kwahiyo maafande wanasema terrorism ni utalii
Terrorism ni ugaidi, Terrorist ni Gaidi.Hapana Terrorist ni Ugaidi!
Mbona hiyo no kawaida tu pengine yeyeTerrorism ni utalii
Mahakamani this is fatal to you!Mbona hiyo no kawaida tu pengine yeye
alisikia "tuorism" badala ya "terrorism"
Wewe ndio wasema. Ila shahidi Afande Hafidhi yeye kasema na kuamini nilichosema mimi ambacho ni kinyume na hiki usemacho.Terrorism ni ugaidi, Terrorist ni Gaidi.
Terrolist.... Wataalamu tena wazoevu !!!Huyu ndiye mwamba mwenyewe wa mambo ya terrorism na report yake:
View attachment 1991187
Pitia report kuona. Wako wapi kina Ibambasi, Wakudadavuwa, johnthebaptist, Jumbe Brown na binamu zao? Kuna mwenzenu hapa:
View attachment 1991192
Hii case hadi iishe Sirro asipoomba kujiuzulu mwenyewe, atakuwa na matatizo yenye kuhitaji tiba mirembe.
Kwa mujibu wa katiba chakavu,jukumu la police ni kutii maagizo toka juu usipotii outpost porini au nje ya mji kuna kuhusu au kupigwa chini job.Ufinyu wao wa akili ndio unaofanya wakubali kutumiwa kwenye kazi za shetani mwishowe wanaaibika kwa ujinga wao.
Msamiati huo afrika haupo.Huyu ndiye mwamba mwenyewe wa mambo ya terrorism na report yake:
View attachment 1991187
Pitia report kuona. Wako wapi kina Ibambasi, Wakudadavuwa, johnthebaptist, Jumbe Brown na binamu zao? Kuna mwenzenu hapa:
View attachment 1991192
Hii case hadi iishe Sirro asipoomba kujiuzulu mwenyewe, atakuwa na matatizo yenye kuhitaji tiba mirembe.
Msamiati huo afrika haupo.
Hakuna kujiuzulu labda ufukuzwe.
Na kama unaitendea haki ccm sahau kufukuzwa
Nani anaweza Acha kiti aache pesa,kujiuzulu ni msamiati wa watu weupeNakubaliana nawe mkuu ila mwishoni kulikuwa na ushauri wa bure kuwahi yeye mwenyewe mirembe😁😁