evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,331
mkuu hawa wANaigiza2.we umeona wapi mtu anasimamishwa na ushahidi upo....Mkuu Ta Muganyizi, ina maana huyu aliyemteua Simbachawene hakujua juu ya hili dili au alifunga macho? Sasa waziri huyu anapata wapi nguvu ya kutuhumu na kuwasimasha wanaofanana naye kwa tabia na matendo? Je, atathubutu kumtumbua?
kwanini asifukuizwe kaz drect..na ushahidi upo.......