Kyakya
JF-Expert Member
- Apr 24, 2009
- 398
- 23
HAYA MAIGIZO HAYANA MUDA MREFU KARIBU YATAFIKIA MWISHO!!!
HII ITAKUWA SERIKALI BOMU KULIKO ZILIZOWAHI KUTOKEA.
HAYA MAIGIZO HAYANA MUDA MREFU KARIBU YATAFIKIA MWISHO!!!
Halafu toka yameanza hatujawahi kuambiwa matokeo ya uchunguzi ni yepi na nani amechukuliwa hatua za kisheria.HAYA MAIGIZO HAYANA MUDA MREFU KARIBU YATAFIKIA MWISHO!!!
wanawazuga wajinga..alaf JPM anasema ukawa haitoongoza milele..Usanii mtupu. Mfano halisi ni mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela John Wanga,,, ukienda pale leo utamkuta amekaa kwenye kiti chake cha kuzunguka wakati juzi tu hapa tuliambiwa amesimamisha na watu walienda kumchunguza tuhuma na ripoti wameweka mfukoni
Baadhi ya hawa wanaofukuzwa ndio watakaofilisiwa, hivyo huu mchakato ni muhimu sana. Anapofungwa mtu, na mali zake zinafilisiwa, ni vitu vinavyokwenda sambamba.Nadhani tungefuta watumishi wote tu... tuanze upya!!!
Hizi fukuza fukuza kila siku tutazizoea sasa