Waziri Nundu ndani ya DAKIKA 45 ITV,sasa hivi.

Kwanini unasema hivyo Mzee?
sababu ni GREAT THINKER na muandishi ameomba great thinker tu kuchangia naona barabarache wanaongezeka..anyway ngoja nimwafte mwanakijiji ingawa namkaribia Kama umesikiliza vizuri na kumuelewa huyu ni WAZIRI MBAYA KULIKO ALIETOKEA KWENYE HIZO WIZARA KWA NINI ???
1..AMEKUWA NDANI YA WIZARA HUSIKA KWA ZAIDI YA MIAKA 20 LAKINI PAMOJA NA KUPEWA CHEO KIKUBWA AMESHINDWA AKUREKEBISHA NA MATOKEO YAKE ANAENDEKEZA KUULIZA WAPI FLOW YA HELA INAPOMWAGIKA NA YEYE AELEKEE HUKO HOW UTANIULIZA

ANS
WAKATI ANAINGIA AMEKUTA KESI ZA ATCL NYINGI TU IKIWEMO YA HII MAGARI NA AKAAKAA KIMYA MPAKA WASAMARIA WENYE INFO WALIPOPELEKA DOCS TAKUKURU NA LEO BAADHI YA WATU WANAHUDHURIA MAHAKAMANI NASEMA KUHUDHURIA MAANA KUNA BAADHI YA WANATAKUKURU WAMESHAMWAGIWA HELA NYINGI TU JUU YA HII KESI NA SIDHANI KAMA KUNA KESI HUKO TUAENDAKO

KAMA MTU ALIE NA EXP NA WIZARA HII ASINGEKUBALI KUENDELEEA NA ****** WA KUOMBA SERIKALI WAENDELEE KUNUNUA MADEGE YAKUKODISHA NA AMBAYO KAMA YEYE AMEKUTA SAKATA LA AIRBUS KULE ATCL NA WAKAJARIBU KUUNDA TUME NA KUPEWA KILA INFO LEO HII ILE TUME WAMEISHIA KULA LAKI MOJA NA HAMISNI NA KILA MMOJA KUONDOKA NA LAPTOPA KWA WIKI 3..KAMA ANGEKUWA WAZIRI ANAEJUA KAZI YAKE AIRBUS ISSUE HATA MWEHU UKIMPA WIZARA ILE HAKUNA TOPS WANGELEENDELEA KUKAA PALE ..ALIEFUKUZWAKWA KUSTAFISHWA AMEONDOKA KWA KUOMBWA NDUGUZANGUNI TENA KWA AIBU YA HUYU MZEE BAADA YA KUONA WANASHINDWA KUMPELEKA MBELE YA MAHAKAMA KWA DILI ZA KULINDANA
 
3.atcl ya saasa hata ukimpwa mwehu anaiendesha ila kuna mambo ambayo lazima akiwa waziri ajue atcl imeshaliwa na mchwa na anachotakiwa sio kungangania kufanya ripea abnatakiwa aijenge atcl mpya yenye watu walio na moyo wa kuiendesha na kuacha siasa kilichoiua atcl ni siasa za washenzi wachache ambao leo hii wanajibishana kwa kugaiana castlelight pale b-bar nk......

4...nasema huyu ni waziri ovyooo kabisa kwa nini kuna mawaziri wengi wamepita hapo awajui vizuri wizara husika huyu pamoja na kuijua amekuwa kimyaa kuendeleea kale kamchezo cha kula mbakishie baba
nasema hivi sio mwehu..mwezi uliopita wahusika watatu walifikishwa kwenye mahakamani kuhusu kesi ya wizi wa mali ya umma kuhusu magari ya atcl kama sijakosea...katika watu hao mmoja wapo amefanya interview ya kugombea ceo wa atcl ..majuzi aka aliekuwa cfo
sasaa kama mtu yuko na kesi ya wizi mahakamani wakati huo huo mtu huyo huyo anatarajiwa kufikishwa kwenye kesi ya mkataba wa airbus na mabillioni ya pesa leo huyu waziri kwakuwa mtanga mwenzake nilivyoambiwa anamruhusu kufanya interview ya kugombe kampuni hiyo hiyo anayodaiwa na wizi wa kujilimbikizia mali ya umma...

5..sio hilo tu
atueleze ile kampuni iliokuwa na share na atcl galileo imekwenda wapi...???na serikali wanampango gani
habari tulizozipata mkurugenzi wa hiyo kampuni ya galilleo ni mmoja wa aliesimamishwa kwa matumizi machafu ya umma kwenye kampuni ya atcl ...huyu bwana ndie mkurugenzi wa gallileo..nauliza kama ameweza kupitisha makaratasi yasiyo sahihi iweje leo hii mtu huyu huuyu unamruhusu kuendelee kuongoza kampuni ambayo ilikuwa kampuni mama ya atcl??kama mkurugenzi huyu ni mwanasiasa uchwara nimeona ametumia jazba sana kudai uchwara lakini katika wizara iliopata bomu ni huyu wengi pamoja na mie nilitaraji wamepta suluhisho matokeo yake wanajaribu kuangalia channels huu ni uhuni mtupu
 
Atcl ya sasa inatakiwa kurekebishwa na kuaachana na habari z akulindana na huyu katoka huku yule katokea kule..ceo wa sasa apewe nafasi iachwe porojo ushabiki fitina na maneno yasionamaana ndipo mtalifikisha kampuni inapotakiwa na sio kwa maneno ya kwenye tv na kila siku why itv njoo clouds tumwage maswali ..infact naamini mh waziri na nduguzo mtatupatia majibu ya hapo juu kwanza kabla yakuendelea na mada ndio maana mkaweka watu wenu wa kuuliza msibanwe kwenye kona

mwisho nakutakia valentine njema mh waziri nundu na wizara nzima watakaofanikiwa kuamka kesho asbh kulitumikia taifa
 
Hawa watu Pascal wa KITIMOTO ndiyo alikua anawawezea.
Hivi alipokua anasema "wametumwa", what was the follow up question?
 
Mtendeeni haki

Anajitahidi na anajaribu kufanya linalowezekana kulingana na Uwezo wa serikali
 
Back
Top Bottom