johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,013
- 142,048
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Hamza amesema ndani ya miezi 6 kikokotoo cha Mapato ya Muungano kinaweza kubadilika kufuatia mazungumzo yanayoendelea Kati ya Serikal ya JMT na SMZ
Hamza amesema kwa sasa Zanzibar inapata 4.5% ya Mapato ya Muungano kitu ambacho siyo sahihi kabisa
Hamza amesema kimsingi inatakiwa Uchukue Mapato ya Muungano Utoe Matumizi ya Muungano na kinachobaki yaani Salio ndio ligawanywe kwa Zanzibar na Bara
Source ITV Dakika 45
Hamza amesema kwa sasa Zanzibar inapata 4.5% ya Mapato ya Muungano kitu ambacho siyo sahihi kabisa
Hamza amesema kimsingi inatakiwa Uchukue Mapato ya Muungano Utoe Matumizi ya Muungano na kinachobaki yaani Salio ndio ligawanywe kwa Zanzibar na Bara
Source ITV Dakika 45