Shame, ndo maana nchi haina umeme, this guy is so relaxed.
I wouldnt expect him to have funny to that exetent while country is in CRISISS.
The Quote from Mwalimu says it all and says it very well....We are the witness of moral decay from the very top. It is the team spirit to be "mtu wa totos" in the current government..When people were cheering the so called "Boys to Men" had not known that this is its manifestation. Disgusting!Huwa wanakesha baa/club alafu wanaamkia mjengoni
namkumbuka Mw.Nyerere akisema 'pale Uingereza waziri mmoja mdogo alionekana akipitapita mtaani na mama mmoja mpaka watu wakaanza minongono he ho ho,waziri yule akaamua kumuandikia waziri mkuu kuomba kujiuzulu lakini kwa jinsi alivyochukia wala hata hakumjibu,'kama ni uhuni nenda kafanye huko barabarani,duniani kote serikali zinaongozwa kwa miiko'R.I.P Mwl.Nyerere
una wish ungekuwa wewe na Ngeleja.........Uh!!!
Am just moderating tu!
Shame, ndo maana nchi haina umeme, this guy is so relaxed.
I wouldnt expect him to have funny to that exetent while country is in CRISISS.
hebu pga ban hiyo mutu.Uh!!!Am just moderating tu!