huyu ndie mtu aliekuwa akitangaza nia ya kugombea uraisi tuna raisi mchumi tuna makamu wake tunawaziri pia alafu mwisho wasiku wanakuja na mawazo mufilisi kama haya juu ya namna ya kumuibia mwananchi ukiangalia hizo nchi jirani anazozungumzi kwenye uuzji wa mafuta kuongeza sh mia vip rea sjui madudu kibao wamejilimbikizia % kubwa serikli mwekezaji na mlaji hawafaidiki kwa usawa hiyo ndo ccm"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”
"Mimi naunga mkono dira ya Rais ya kutaka maji yapatikane kila kijiji, sasa tunafanyaje? tukasema tuchangishane, hivi unaona tunaweza kupoteza maisha ya Mtoto sababu ya maji, kisa unalia unakatwa Tsh.5?, mbona milio ya simu tunaweka na unakatwa Tsh. 100?"———Mwigulu via Clouds360
"Kuna Shule zinakusanya watoto mpaka 1500 au 1000 na Shule haina maji wanaambiwa waende Shule na kidumu cha maji, sasa tunafanyaje ili maji yapatikane? ndio maana kuna uwepo wa kukatwa Tsh. tano kila unapotuma hela kwa ajili ya huu mfuko wa mshikamano"———Mwigulu via Clouds360
"Watu wanalalamika kuhusu hela za miamala, hii ni solidarity fund, tuna mambo ambayo tunakubaliana hayapaswi kuendelea mfano ubovu wa Barabara vijijini, kama Taifa tuongeze Tsh.100 katika mafuta ili kila fedha itakayoongezeka iende kuleta maendeleo"——Mwigulu Nchemba via Clouds360
"Kwenye chungu, ni lazima bajeti, fedha zitatoka wapi ni lazima tutoe kodi, mwaka huu tumeleta kodi ya miamala, ni vizuri sana mjue hili la kwenye miamala sio tu kodi, hili tunatunisha mfuko, ni solidarity fund, huu ni mfuko wa mshikamano wa Watanzania"
"Akaunti zilifungwa kipindi kile kwasababu ya masuala ya kikodi na Wafanyabiashara wanarudishiwa fedha zao kwasababu akaunti imelipa kodi au hesabu zake zilipigwa vibaya kwahiyo kuna fedha ambayo haikuwa kodi inarudishwa"
"Kenya, Uganda, Malawi, Rwanda, Msumbiji mafuta yako bei juu kuliko sisi, ulishaona hizo Nchi waje kununua mafuta Tanzania?, nitoe rai Watanzania wawe Wazalendo kwasababu kwenye Nchi zote zinazotuzunguka Tanzania ndio Nchi inayouza mafuta bei ya chini"
wakifanya hivo labda ni ccm mpyaViongozi nao walipe Kodi kulinganana na vipato vyao na hii itie ndani mapato yote halali ikiwamo posho na kiinua mgongo.
Miwatu kama hiyo ni ya kucharazwa viboko mia moja ili akili zimrudie,
Na mbona aongea kama anatusuta vile? Tumemkosea nini sisi wananchi wanyonge
Kwenye magari ni balaa gari ukiagiza milioni Tano,kigari kidogo tu cc 1500 andaa milioni saba ya kukomboa bandarini jamaa wanapiga pesa ndefu kuzidi hata makampuny ya kutengeza magariKuna pesa huwa zinakatwa miaka nenda rudi kwenye mafuta na hata kwenye magari yanayoingizwa nchini inaitwa railway levy, lakini bado utaambiwa pesa kibao zimeshakopwa kwa ajili ya SGR na bado utaambiwa hakuna pesa kukamilisha mradi wa SGR, halafu unatuletea hapa takataka nyingine, sijui solidarity fund..........yaani mnajikusanyia pesa kwa ajili ya matumizi yenu ya kifisadi mnakuja kutulaghai na maneno ya solidarity fund, hopeless....
Asanteni sana CCM kwa kuendelea kutunyonya, tunawashukuru sana your time is coming."Kuna Shule zinakusanya watoto mpaka 1500 au 1000 na Shule haina maji wanaambiwa waende Shule na kidumu cha maji, sasa tunafanyaje ili maji yapatikane? ndio maana kuna uwepo wa kukatwa Tsh. tano kila unapotuma hela kwa ajili ya huu mfuko wa mshikamano"———Mwigulu via Clouds360
Solidarity fund inatumika kulipana posho za kuzunguka na mi vieitee!!??Solidarity fund na majizi, wahuni na mafisadi!?
Solidarity fund inatumika kulipana posho za kuzunguka na mi vieitee!!??
Yaani tunachangia hawa viongozi kula keki ya taifa peke yaoo!!?
Na hapo bado haziwatoshi wanakuja na uhuni wa solidarity fund, hawa watu kuna namna wanatuona hamnazo, si bure......Kwenye magari ni balaa gari ukiagiza milioni Tano,kigari kidogo tu cc 1500 andaa milioni saba ya kukomboa bandarini jamaa wanapiga pesa ndefu kuzidi hata makampuny ya kutengeza magari
Solidarity fund ya kuendesha viieite la madelu, ama kweli hakuna nchi rahisi kuongoza kama nchi ya wadanganyika.....Solidarity fund inatumika kulipana posho za kuzunguka na mi vieitee!!??
Yaani tunachangia hawa viongozi kula keki ya taifa peke yaoo!!?
mkuu unajua hili swala linanishangaza Sana yaani Kodi inazidi Bei ya gari aiseee huuu upumbavu wa serikali ya haya maCCM hauvumilikiKwenye magari ni balaa gari ukiagiza milioni Tano,kigari kidogo tu cc 1500 andaa milioni saba ya kukomboa bandarini jamaa wanapiga pesa ndefu kuzidi hata makampuny ya kutengeza magari
Wazo zuri la kuchangia ila matumizi yenu nyine kina mwigulu ni anasa sana, wananchi wapo wiling kuchanga ila nyie hamjibani ,mnazidi kununua mavx ya milioni 400 kila moja, ma perdiem yasiyo na kichwa wala miguu wakati tuna mkongo wa taifa, tuna zoom, yaani unafunga safari ya zaidi ya km 600 na msafara wa magari 20 kwenda kukata utepe? Kama kuchangia mbona nyinyi viongozi hamchangii yaani wanachangia walalahoi tu?
Tatizo ni MTU analipa kodi zote stahiki na kubaki na hela yake stahiki!! Akitaka kumtumia mwanae ada, au kumtumia ndugu, jamaa au kulipia chochote anaambiwa lipa hela ya solidarity!! Hii ni double taxation!! Kodi inayotakiwa hapa ni gharama ya biashara ya mtoa huduma (ie Tigo au Airtel) achangie kodi kwa kuwezesha hii huduma na sio kukata hela ya Mteja!!Badala ya kuvifuta vyeo vya kipuuzi kama vya wakuu wa mikoa na wilaya, kuondoa wabunge wa viti maalum na wale wa kuteuliwa! Kuondoa vyeo vya Ma Ras na Ma das, kupeleka mswada wa kupunguza posho nono wanazolipwa bungeni!
Yeye anakimbilia kwenye TOZO!! Kuna mijitu ni Mibinafsi, ila miana siasa aina ya Mwigulu Nchemba, imepitiliza aisee!!